TVT, Star TV washinikizwa kutoonyesha Bunge

MF,

Sidhani kama huyo jamaa anaweza kusema hayo mambo ukikutanana nae uso kwa uso.

Unajua nina nadharia moja kwamba kitu chochote kile unpopular kinachosemwa kwenye anonymous forum kama hii kina faida yake fulani -hata uendawazimu.

Kwanza, inasadia kuleta upande mwingine wa shilingi uwe considered, ambao unaweza kuwa mzuri lakini ukiusema hadharani utapigwa mawe kama walivyotaka kumfanyia Galileo Galilei.

Na kama huo upande mwingine wa shilingi ni utumbo kabisa kabisa, bado inasaidia kujua watu wanafikiri nini. Kwa mfano, kuna wakati ukisoma posti fulani fulani hapa unaona hisia hisia za kikabila kabila na kidini dini, ambazo watu wasingeweza kuzisema hadharani. Inasaidia kujua Watanzania wenzako wanafikiri nini kisiri siri - hata vioja.

Sasa huo hapo juu - bunge lisiwe transparent - ni moja kituko ambacho sijawahi kukisikia maishani. Kusema machache!

Na huyo aliyeamuru TV zisionyeshe ni mwenda wazimu zaidi maana kisiri siri anafikiri WTz bado ni makenge kama enzi zao
 
Tanzania na CCM ni Zimb kwa muda mrefu sasa ila hawajaguswa mahala wakatoa makucha yao .

ni kweli kabisa, nilikuwa sijapata wazo hili, lakini nimegundua baada ya kukusoma kuwa kila fikra ya ccm inafanana na ya chama tawala cha zimbabwe. tofauti yetu ni kuwa Zim wana ahueni kwani Mugabe akifa/akishindwa hiyo hali itabadilika. Lakini Tz tumeshaiweka iko sustainable, ni ya kudumu na kudumu na kudumu.
Marais wa CCM watabadilishana nchi lakini sera zitakuwa zile zile. Heri yao Zimbabwe wana pa kutokea, sisi je?
tutajitoa kama Tsvangirai katika vita hii?
Hivi hawa watu wenye kufanya maamuzi ya bunge kama haya wanaongozwa na sheria gani?
Sasa nimeelewa maana ya DR slaa ktk hotuba yake ya juzi, kwamba Bunge linatakiwa liiwajibishe serikali na kuisimamia.
Namuonea huruma Spika wetu, anao ubavu? manake kakulia humo humo ndani ya ccm.
Hawa kina Slaa wako wachache ki idadi lakini mambo yao makubwa,
We pray for you guys.
 
Zittpo anawataka wabunge wa CCM kukaa kimya na sasa wabunge wa CCM wanazua fujo na kupiga kelele mpaka zitto anashindwa kutoa hoja.

Fujo zipo bungeni sasa jamani

Kwani Spika hakuwepo. Ingekuwa ni wabunge wa upi-mzani wangesomewa kanuni za bunge na si ajabu wangesimamishwa ubunge wao kwa muda hadi mwakani. Inside the National Assemble there grows the so called
one-sided-democracy-wing. Reaching this stage that means we the people are not realy valued worth by our MPs, except during campaign when they beg us to vote for them, this is our lesson for 2010.
 
Hii ya jana ni aibu kwa serikali nzima ya Kikwete! I feel ashamed to stand up before people and claim we have a government!! Hivi kweli ukizuia TV kuonyesha bunge katika htuba muhimu kama ya Waziri Mkuu kivuli unakuwa unajijenga au unajibomoa? CCM wanaexploit ujinga wa watanzania na wanafahamu kuwa watanzania wengi hawasomi magazeti au mtandao hivyo ukiwazimia live broadcast basi umewazuia! this time they are wrong. We need to find means to put this before the masses hata kama ikibidi kutumia magazeti ya udaku ambayo yanasomwa na watu wengi. Kuanzia sasa sina imani tena na serikali yote ya awamu hii! Wapinzani endeleeni hivyo hivyo!
 
Hii ya jana ni aibu kwa serikali nzima ya Kikwete! I feel ashamed to stand up before people and claim we have a government!! Hivi kweli ukizuia TV kuonyesha bunge katika htuba muhimu kama ya Waziri Mkuu kivuli unakuwa unajijenga au unajibomoa? CCM wanaexploit ujinga wa watanzania na wanafahamu kuwa watanzania wengi hawasomi magazeti au mtandao hivyo ukiwazimia live broadcast basi umewazuia! this time they are wrong. We need to find means to put this before the masses hata kama ikibidi kutumia magazeti ya udaku ambayo yanasomwa na watu wengi. Kuanzia sasa sina imani tena na serikali yote ya awamu hii! Wapinzani endeleeni hivyo hivyo!

wana jidhalilisha hawa .Spika hata awepo mtu kama Makinda anawachukia wapinzani kama nini .
 
wana jidhalilisha hawa .Spika hata awepo mtu kama Makinda anawachukia wapinzani kama nini .

Makinda kwa kweli anawachukia wapinzani si utani! Analeta utani mwingi na ana hasira sana kiasi kwamba nashindwa kuelewa Kanuni za Bunge anataka zitumiwe wakati gani! Amemlinda sana Malecela!
 
Duh!!!,

Ama kweli haya majitu yamechanganyikiwa sasa kukataza TBC na Star TV kuonyesha live hiyo hotuba ili tusijue kinachoendelea? Lakini tutayapata tu hayo.

Mugishagwe, umenigusa penyewe kabisa sioni tofauti ya Mugabe na namabari 1...Wa-tz tujiandae kuna watu wamekariri kuongoza nchi hawaamini wakishindwa kuna wengine wanaweza kuongoza....Hayaoni aibu sijui
 
sikatai ila haileti mana kama hilo linaweza kufanywa na mtu kama pm mana ni mtu anaeelewa duni a inapokwenda na pia hana la kuficha. pia haileti mana kwa pm kufanyam maamuzi hayo mana kama si scandle tayri ziko na zinaeleweka kanini ajichafue. tafadhali msimchafue pm mana haiingii akilini.
 
Hadi sasa nogopa kuamini kuwa kulikuwa na njama... kwa sababu habari zililiki mapema...

Mkuu hii sababu yako umh..., kuna unachojua zaidi... Watawala wakibanwa wanaweza kufanya usichoweza kukifikiria kabisa. Hali ni mbaya saa hizi ...
 
Mkuu hii sababu yako umh..., kuna unachojua zaidi... Watawala wakibanwa wanaweza kufanya usichoweza kukifikiria kabisa. Hali ni mbaya saa hizi ...

Nziku umesema yote na vyema .Bado Serikali inaweza kutueleza why iliacha kwenda LIVE kama kawaida .Ila wajue Slaa kafanya jambo kubwa mno ambalo haliwezi tena.

Yuko katika hansard za Bunge .Hapo kamaliza kila kitu .
 
Kwani Spika hakuwepo. Ingekuwa ni wabunge wa upi-mzani wangesomewa kanuni za bunge na si ajabu wangesimamishwa ubunge wao kwa muda hadi mwakani. Inside the National Assemble there grows the so called
one-sided-democracy-wing. Reaching this stage that means we the people are not realy valued worth by our MPs, except during campaign when they beg us to vote for them, this is our lesson for 2010.


..usijali,wapiga kura wana-take note.
 
Jamani Itv Hawewezi Kurudia Hili Bunge?mana Kila Nikiona Vipande Kwenye Habari Ni Balaa Tupu.plz Itv Fanyeni Kipindi Maalum
 
sikatai ila haileti mana kama hilo linaweza kufanywa na mtu kama pm mana ni mtu anaeelewa duni a inapokwenda na pia hana la kuficha. pia haileti mana kwa pm kufanyam maamuzi hayo mana kama si scandle tayri ziko na zinaeleweka kanini ajichafue. tafadhali msimchafue pm mana haiingii akilini.

Haya Mkuu mtetee! Unajua aliyeamua? Hivi hujui kuwa Slaa alitoa hotuba hiyo kama majibu kwa hotuba ya waziri Mkuu! Karagha bhaho!
 
Jamani Itv Hawewezi Kurudia Hili Bunge?mana Kila Nikiona Vipande Kwenye Habari Ni Balaa Tupu.plz Itv Fanyeni Kipindi Maalum

Tuwashinikize hawa ITV na Star TV waweke kipindi maalum labda saa moja za usiku au saa mbili za usiku na pia watufahamishe Watanzania kulikoni mpaka hawakuonyesha hotuba hiyo ya Dk Slaa aliyoitoa Bungeni.

Tofauti ya ZANU PF na Chama Cha mafisadi inaanza kuwa finyu mno!!
 
Tuwashinikize hawa ITV na Star TV waweke kipindi maalum labda saa moja za usiku au saa mbili za usiku na pia watufahamishe Watanzania kulikoni mpaka hawakuonyesha hotuba hiyo ya Dk Slaa aliyoitoa Bungeni.

Tofauti ya ZANU PF na Chama Cha mafisadi inaanza kuwa finyu mno!!

ITV!!!! Since when wakaonyesha bunge hawa? Labda tuwaombe Channel Ten angalau wanuzalendo kidogo!
 
Back
Top Bottom