Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
coincidence has a tendency to occur incidentally to some people...
coincidence has a tendency to occur incidentally to some people...
Of course ni aibu kwetu opposition kutokuwa na chombo cha habari chenye kutetea maslahi ya wananchi hata baada ya miaka 15 tangu huru wa vyama vingi uanze. Hivi vyombo vyote vya habari vya TV vinamilikiwa ama na sympathisers wa CCM au watu ambao hawana ubavu wa kusimama wima CCM wakikohoa. This is a wake up call!
Ndio nikasema CCM na ZANU PF wanafanana kwa kila kitu sema wapo nchi mbili tofauti. Hawa CCM siku wakipambana na upinzani wa kutishia kutolewa madarakani tutawashuhudia wakitembea bila nguo barabarani.