TVT, Star TV washinikizwa kutoonyesha Bunge

Maskini Mkullo anatia huruma- kumbe alidanganya kiasi hiki bungeni-kwamba hela za EPA zilitolewa na wafanyabiashara. Dk Slaa ametoa ushahidi wa kutisha kuonyesha kwamba zile zilikuwa hela za walipa kodi. Lakini sasa hata hivyo Mkullo naye ameonyesha ujinga wa hali ya juu sana-ina maana hata kama hizi hela zisingekuwa za walipa kodo ndio kusema hiyo inahalisha wizi uliofanyika? What is wrong with the heads of these guys in JK Government? Ina maana "wamelogwa" hawawezi kabisa kufikiri tena?

Haya mambo ni mazito![/CENTER]

Hawa wamezoea kutudanganya tu lakini wakumbuke tunakoelekea wanaweza wakawa wanashindwa hata kutoka nje kwa aibu.

Waataendelea kuumbuka tu na wananchi wataendelea kuwazomea na kuwaona wababishaji na mafisadi tu.
 
Ni mtu tu anayefahamu broadcasting LIVE ina-involve nini? ndiye anaweza kukurupuka haraka kusema jambo hilo kwa urahisi bila utafiti wowote....

Mfano... Juzi taifa stars ikicheza na Cameroun... umeme ulizimika maeneo ya Mlimani... hapo napo mafisadi waliamua umeme ukatike...

Huu upinzani uchwara... natamani usingepewa nafasi kwenye taifa.... letu... ongelie jambo wakati una facts...


Eee bwana Kasheshe, mimi najua wewe ni sympathiser wa CCM na serikali yake, lakini sijafikia hatua ya kukuweka kundi moja na Mhe Kada Mpinzani na mwenzake Masaka. Lakini sasa huku unapoelekea unatutisha!

Labda nikuulize sasa: je, wewe mwenzetu una fact zilizosababisha kutukuonyeshwa hiyo hotuba? Hebu tupe basi na sisi hizo sababu kaka!
 
Dr. Slaa ameelezea kwenye taarifa ya habari ya TBC1 mambo ya meremeta, anglo gold...

Watanzania hatukutaka kuyasikia hayo toka kwenye taarifa ya habari, bali toka mdomoni kwa shujaa wa Watanzania Dk Slaa, usijibaraguzebaraguze bwana!!! Hivi hujui tofauti kati ya kusikiliza hotuba yote bila kukatishwa na kuisikia kwenye taarifa ya habari!!!? :confused:
 
Lakini they are not entirely lost kwa sababu sasa hivi tutaanza kujadili kutokuonyeshwa kwa hotuba ya Dk Slaa badala ya kijadili alichokisema. Haya majamaa yana njia nyingi kweli za kutupiga bao!!

Kitila,

shukurani turudi kwenye hoja,,, tuachane na mambo ya mitaani... leta hotuba yake yote mkuu!!!

Ushauri, kama kweli kuna hujuma ya kutotangazwa habari za upinzani... naomba wabunge wetu wa upinzani wasiseme vitu gani watavisema.... hadi vitoke hapo hapo LIVE.
 
Kitila,

Mimi nilikuwa nafikiri hivyo ulivyosema.

First time JK alivyosema "hizi hela si za wahisani" nikasema ebo! ina maana kama ni zetu ni halali kuibiwa?

tena Mkulo anasema si za serikali ni za wafanyabiashara, sasa does that make it right?

Watakwambia kila kitu under the sun except what you want them to tell you.

Waliochukua wamerudisha? wamechukuliwa hatua gani?
 
Ni mtu tu anayefahamu broadcasting LIVE ina-involve nini? ndiye anaweza kukurupuka haraka kusema jambo hilo kwa urahisi bila utafiti wowote....

Mfano... Juzi taifa stars ikicheza na Cameroun... umeme ulizimika maeneo ya Mlimani... hapo napo mafisadi waliamua umeme ukatike...

Huu upinzani uchwara... natamani usingepewa nafasi kwenye taifa.... letu... ongelie jambo wakati una facts...

Mfano wako ni wa kijinga umejaa hila na ufisadi wa kimataifa .Mfano mbuzi huu.Juzi umeme ulkatika Mlimani na maeneo mengine ukawepo wakaona pambano .Leo umeme ulikatika kuzuia kurusha matangazo LIVE ?Kama umeme ulikatika ndani ya jengo la Bunge je Wabunge waliendelea bila ya umeme mle ndani ?

Hoja za kijinga hizi zimejaa uchafu , unanuka wewe Kasheshe sawa na jina lako .Tuachien nyie wezi wakubwa .Dhuluma ina mwisho .Ujinga tu wa kufikiri .Mnadhani kuacha kuonyesha Slaa anaongea mnaweza pia kubandua hotuba yake huku JF .Washauri wa serikali lazima wawe wapuuzi kama wewe .Unadhani unaweza kuleta hoja chovu hapa ikakubalika .Now wacha uone magazeti yatakavyo anika ujinga wenu hadharani .CCM ni sawa na akili za Mugabe na nyie vibaraka hamjui wapi mtoe ushauri .
 
Mfano wako ni wa kijinga umejaa hila na ufisadi wa kimataifa .Mfano mbuzi huu.Juzi umeme ulkatika Mlimani na maeneo mengine ukawepo wakaona pambano .Leo umeme ulikatika kuzuia kurusha matangazo LIVE ?Kama umeme ulikatika ndani ya jengo la Bunge je Wabunge waliendelea bila ya umeme mle ndani ?

Hoja za kijinga hizi zimejaa uchafu , unanuka wewe Kasheshe sawa na jina lako .Tuachien nyie wezi wakubwa .Dhuluma ina mwisho .Ujinga tu wa kufikiri .Mnadhani kuacha kuonyesha Slaa anaongea mnaweza pia kubandua hotuba yake huku JF .Washauri wa serikali lazima wawe wapuuzi kama wewe .Unadhani unaweza kuleta hoja chovu hapa ikakubalika .Now wacha uone magazeti yatakavyo anika ujinga wenu hadharani .CCM ni sawa na akili za Mugabe na nyie vibaraka hamjui wapi mtoe ushauri .
Lunyungu,

Kama umezoea kudanganya watu leo... huna nafasi mkuu!!! bwatuka as much as you can... lakini hakuna kitu hapo... ni upigaji ramli tu... nimesema kama unafahamu LIVE broadcasting ina-involve nini... Hujui kama ungejua hungekurupuka... ungeangalia ya msingi kwanza...
 
Lunyungu,

Ukichoka kutukana turudi kwenye hoja, au ongeza post moja nyingine ya zaidi ya matusi yako yote... alafu tuendelea na content ya hoja ya Slaa...
 
Eee bwana Kasheshe, mimi najua wewe ni sympathiser wa CCM na serikali yake, lakini sijafikia hatua ya kukuweka kundi moja na Mhe Kada Mpinzani na mwenzake Masaka. Lakini sasa huku unapoelekea unatutisha!

Labda nikuulize sasa: je, wewe mwenzetu una fact zilizosababisha kutukuonyeshwa hiyo hotuba? Hebu tupe basi na sisi hizo sababu kaka!

Kwi kwi kwi,

Mkuu ninachokataa hapa ni kuwa wapiga ramli... naheshimu watu wanatoa data... lakini nachukia watu wanaokurupuka! hata kama itabidi niichwe mfuasi wa CCM, lazima watokee wananchi wachache waseme ukweli hata kama italazimika kuonekana miiba!!!

Maana deal... hapa JF ni kuwa negative na serikali...

Lakini kwa kuwa tunafikiri sawa... kuna post kama mbili hivi umesema yale yale niliyokuwa nasema siku zote... kwamba tunalaumu upande mmoja tukisahau kwamba uozo uko kwenye jamii yetu yote!!!

Mimi sina maslahi yoyote na serikali ya sasa wala CCM... ili ulijue hilo sijala hata kunywa soda ya fisadi...

Kuna post nyingi ukitumia Hesabu zile za Logic..."Proof by Contradiction" inatosha kujua watoa hoja ni wapiga ramli.
 
Kwi kwi kwi,

Mkuu ninachokataa hapa ni kuwa wapiga ramli... naheshimu watu wanatoa data... lakini nachukia watu wanaokurupuka! hata kama itabidi niichwe mfuasi wa CCM, lazima watokee wananchi wachache waseme ukweli hata kama italazimika kuonekana miiba!!!

Maana deal... hapa JF ni kuwa negative na serikali...

Lakini kwa kuwa tunafikiri sawa... kuna post kama mbili hivi umesema yale yale niliyokuwa nasema siku zote... kwamba tunalaumu upande mmoja tukisahau kwamba uozo uko kwenye jamii yetu yote!!!

Mimi sina maslahi yoyote na serikali ya sasa wala CCM... ili ulijue hilo sijala hata kunywa soda ya fisadi...

Kuna post nyingi ukitumia Hesabu zile za Logic..."Proof by Contradiction" inatosha kujua watoa hoja ni wapiga ramli.


Hujajibu hoja ya Kitila bado .Hebu rudia kusoma uone anakuomba nini .
between kumbe unapika kelele kabla hujaona hotuba ya Slaa .Uliyo yasikia TNC 1 kwa muda mchache si hayo ambayo yako katika Hotuba .Hotuba iko hapa ubaoni tafuta soma it will take your time si kama ulivyo ona hapo .

am out.
 
Kutokana na uzito wa Hotuba ya Dr Slaa, msemaji wa kambi ya upinzani ofisi ya Waziri Mkuu inayotarajiwa kuwasilishwa saa 12 jioni leo; TVT na Star TV wameshinikizwa kuacha kuonyesha kikao cha Bunge. Inaelekea Slaa alipanga kuanika masuala yote ya EPA, Richmond, Kamati ya Bomani, Kiwira nk. Tufanye kampeni ya haraka ya kuwashikiza kuonyesha

Asha

Tumekuwa Zimbabwe sasa?
 
Tanzania na CCM ni Zimb kwa muda mrefu sasa ila hawajaguswa mahala wakatoa makucha yao .
 
Ni fisadi gani aliyehakikisha hotuba ya Dk Slaa haionyeshwi kwa Watanzania waliokuwa wanaisubiri kwa hamu? Ni JK, Sitta, Pinda, Rostam? Mpaka tumjue fisadi huyu anayedhani kwamba Watanzania watavumilia upupu kama huu.


.....wala msitafute mchawi....huo ndio utendaji wa pinda ...amejeuza ofisi ya waziri mkuu ndio TISS.....mmesahau alivyopiga simu news room siku ile LOWASSA alipokuwa anahojiwa live ...monduli akaaza kujisafisha...mmesahau siku ille mahojiano yalivyokatishwa ghafla!!!!........sasa mjue hiyo ndio staili ya kinyoka ya pinda....anapiga alafu kimyaa ...kama hayuko vile ...wala haongei na wala hamtadhania...,nadhani mnaelewa utendaji kazi wa secret servicemen unavyotakiwa kuwa....tofauti na makeke ya askari especially waliosomea propaganda[ie lowassa,komba ,kikwete et al]...wao kimya kimya ndio zao!!!
 
ndio maana magorofa yanadondoka ovyo,yote ni mateso kwenye ardhi hii ya majambazi....sasa moto wao unawaka,kazi ni maneno tu....utekelezaji kidogo,uchumi unakuwaje,leo nasema kesho lazima nikutane na kikwete
 
Kwa mtindo huu...Zimbabwe wanaonewa kwa kukanyaga maslahi ya bwana mkubwa tu, kwani ingawa Mugabe ndiye PAPA katika bahari ya Waafrika lakini wengine wengi wapo na wataendelea kuwepo so long as wanalinda na wanaheshimu mikataba ya Buzwagi na kulaani majirani kwa niaba ya bwana mkubwa.
 
...kama TVT kuonesha slaa akiongea tu wanaogopa serikali....KWELI WATAWEZA KUWAPA UHURU WA KUTOSHA ze COMEDY kufichua MAOVU????

....NAFIKIRI ZE COMEDY SASA WATAKUWA KAMA TOT RESPECT........
Mmh hapo sasa.yani nawaonea huruma kweli hawa vijana na zee komedi yao.wataishia kupangiwa cha kuonyesha.
 

Bunge halitakiwi kuwa so transparent kiasi hiki.


Eti nini? unajua kweli unachokisema? wanatakiwa kuwa transparent na wasipokuwa transparent tutawalazimisha, maana tuna njia nyingi tu za kupata habari.

MF,

Sidhani kama huyo jamaa anaweza kusema hayo mambo ukikutanana nae uso kwa uso.

Unajua nina nadharia moja kwamba kitu chochote kile unpopular kinachosemwa kwenye anonymous forum kama hii kina faida yake fulani -hata uendawazimu.

Kwanza, inasadia kuleta upande mwingine wa shilingi uwe considered, ambao unaweza kuwa mzuri lakini ukiusema hadharani utapigwa mawe kama walivyotaka kumfanyia Galileo Galilei.

Na kama huo upande mwingine wa shilingi ni utumbo kabisa kabisa, bado inasaidia kujua watu wanafikiri nini. Kwa mfano, kuna wakati ukisoma posti fulani fulani hapa unaona hisia hisia za kikabila kabila na kidini dini, ambazo watu wasingeweza kuzisema hadharani. Inasaidia kujua Watanzania wenzako wanafikiri nini kisiri siri - hata vioja.

Sasa huo hapo juu - bunge lisiwe transparent - ni moja kituko ambacho sijawahi kukisikia maishani. Kusema machache!
 
Of course ni aibu kwetu opposition kutokuwa na chombo cha habari chenye kutetea maslahi ya wananchi hata baada ya miaka 15 tangu huru wa vyama vingi uanze. Hivi vyombo vyote vya habari vya TV vinamilikiwa ama na sympathisers wa CCM au watu ambao hawana ubavu wa kusimama wima CCM wakikohoa. This is a wake up call!

kweli umenena ndugu yangu
 
Ni nchi gani nyingine zinazotangaza live majadiliano ya bunge?Kwa maana tangu kikao kinapofungliwa hadi mwisho?

Nadhani ni nchi chache sana duniani na hili lina maana yake.Kama ndani ya nyumba kuna siri ya familia si vema kuanika kila kitu.

Naunga mkono Majadiliano yasiwe wazi ili kulinda hadhi ya nchi.Kama kuna jambo llinalohitajika kuwekwa wazi zipo Hansards.

Bunge halitakiwi kuwa so transparent kiasi hiki.


na hali yotee ihh chafu bado unasema nchi ina hadhi??????
 
Back
Top Bottom