Tv imaan yapata kibali rasmi

Tv imaan yapata kibali rasmi

Status
Not open for further replies.
yaani mkuu inanikera mijanaume mizima inashinda kutwa inagaragara msikitini na watoto wao wanashinda madrasa na kutuongezea idadi ya maziro mitihani form four....badilikeni UVIVU hautawapeleka kokote!
Hawa mpaka bakora ndio watabadilika,walilia fursa wakati vilaza,nenda mtwara uko utacheka jamaa hata darasa la nne hakufika anataka awe engineer teh teh teh...
 
Mbona hata Mandela hao mabwana zenu walimwita gaini lakini sasa kawa shujaa.

sisi ndo mabwana zenu,tukiwambia hk mnafanya,tukiwapa ugaid mnatulia,tutaendelea kuwatawala na kuwapangia cha kufanya,lazma mtakubali.
 
Mbona na nyie mashoga mna TV zenu hatusemi?

tutaendelea kuwatawala sana tu,tutawaonea duniani kwa kuwapga na kuwapa kesi za ugaidi na mbingun hamuend tunaenda sisi maana mungu wenu mfu allah hana mbingu,imekula kwenu.mtaonewa sana tu.
 
nimefurahishwa na mleta thread, hasa aliposema zahanati zinatoa huduma kwa waislam na wasio waislam, nadhani ni policy nzuri ambayo hata taasisi zingine za kidini mfano Agha Khan,Lutheran,RC, Sabato,hindu, Anglican,TAG, etc wanafanya hivohivo, hongereni kwa hatua hii
Ninachokiona humu kwenye jf ni ukiristo na ukiristo na ukiristo. Suala lolote linalohusu wafuasi wa dini ya kweli, dini ya Mjumbe wa Allah (SWT) ambae ni Mtume Muhammad (SAW), hupigwa vita vya hali ya juu. Hamuna uvumilivu. Why ????
 
Wapo wakristo wanaoshibikia mambo hayo,na wanafurahia sana,ndio mana makundi ya kigaidi ya kikiristu kila Leo yanaogezeka,pale wanapouwa na kuwachoma moto,wanaosema ni wachawi,vikongwe maeneo wanaoishi wakristo,huu ni ugaidi,unamtesa mtu kwa kumdhania uchawi na kumtoa roho yake,au kumuua albino,yote hay a yanatokea maeneo ya bara yenye wakristo wengi
 
Sheikh Basaleh ametimuliwa kwenye msikiti wa Idrissa ingawa mwenyewe amegoma kuondoka madarakani.

Sheikh Basaleh ametakiwa na uongozi wa msikiti huo uliopo Kariakoo Dar ea salaam kukabidhi mali zote za Msikiti na amepewa siku saba zinazoishia leo Novemba 19.

Bodi ya wadhamini ilimuandikia barua kumtaka akabidhi ripoti ya mapato na matumizi kwa muda wote wa Miaka kumi aliyokaa madarakani yeye na kamati zake.

Bassaleh anadaiwa kufanya ubadhirifu uliokithiri wamali za Waislam wa msikiti huo na kukiuka makubaliano baina yake na bodi.

Katibu wa Bodi hiyo ya wadhamini Seydou Rubeya aliliambia gazeti la Kisiwa kuwa awali walipanga kumwondoa Bassaleh kistaarabu lakini sasa wana mpango wa kutumia nguvu kwa sababu ameonyesha jeuri na kibri mbele yao.

Hii ni baada ya Sheikh Bassaleh kusimama juzi baada ya sala ya Ijumaa na kutangaza kwqmba hayuko tayari kuukabidhi msikiti huo kwa bodi na hakuna mwenye uwezo wa kumwondoa kwenye wadhifa wake.

Rubeya alisema wao hawataki msikiti uendeshwe kisiasa na kama Bassaleh analazimisha kuwa kiongozi basi akavunje jumba lake lililoko mtaa wa bonde ajenge msikiti halafu awe kiongozi lakini sio msikiti wa Idrissa.

Suala hili tayari limeripotiwa polisi.

Aidha wakati Bassaleh amekwenda kutekeleza Ibada ya Hijja waislam walifanya mapinduzi ya kumpindua.

Source: Gazeti la KISIWA, Sauti ya Haki, Tarehe 18-21 November 2013

Nimecheka sana.Yaani hata Shekh Bassaleh Darasa la Saba kawazidi Ujanja?.Bila kwenda Shule wataliwa kweli hawa Jamaa.Sisi tunakula Kiulaini kupitia MOU wenyewe acha wapige Kelele usiku watalala.
 
tutaendelea kuwatawala sana tu,tutawaonea duniani kwa kuwapga na kuwapa kesi za ugaidi na mbingun hamuend tunaenda sisi maana mungu wenu mfu allah hana mbingu,imekula kwenu.mtaonewa sana tu.
mnatawala nani,,hahaha,mkuu unautani,mmemtawala nani,lini na wapi?
 
pengo hawezi kukubali,mashule,mahospital wanayojengea kwa pesa za walipakodi watajengea na nini,sadaka zenyewe za jumapili hazitoshi hata kwa matumizi ya kula.
Elungata siku zote huwa nakuambia acha uongo, kanisani kwenyewe huenda mipango inayopangwa huko juijui halafu unaanza kutukana watu hapa. Mzee pengo kakkosea nini hata umtukane?
Je, umewahi itisha harambee hata moja msikitini kwako ya kujenga zahanati? nenda kanisani utaona hilo, acheni jamani kuzusha uongo kaaaa inawezekana ulipandikizwa uongo ukiwa kwenye tumbo la mama yako wewe, umenikera kwa matusi yako
 
Wapo wakristo wanaoshibikia mambo hayo,na wanafurahia sana,ndio mana makundi ya kigaidi ya kikiristu kila Leo yanaogezeka,pale wanapouwa na kuwachoma moto,wanaosema ni wachawi,vikongwe maeneo wanaoishi wakristo,huu ni ugaidi,unamtesa mtu kwa kumdhania uchawi na kumtoa roho yake,au kumuua albino,yote hay a yanatokea maeneo ya bara yenye wakristo wengi
Hakuna Mkristo Gaidi.Kawadanganye wenzako wa Madrasa.
 
Wapo wakristo wanaoshibikia mambo hayo,na wanafurahia sana,ndio mana makundi ya kigaidi ya kikiristu kila Leo yanaogezeka,pale wanapouwa na kuwachoma moto,wanaosema ni wachawi,vikongwe maeneo wanaoishi wakristo,huu ni ugaidi,unamtesa mtu kwa kumdhania uchawi na kumtoa roho yake,au kumuua albino,yote hay a yanatokea maeneo ya bara yenye wakristo wengi
hata ngozi hawa ndugu zetu wachunaji wazuri wa ngozi za binadamu,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom