Tv imaan yapata kibali rasmi

Tv imaan yapata kibali rasmi

Status
Not open for further replies.
Na Mustafa Akoonay je? Muhonga Ruhanywa? Mohamedi Mtoi? Abdallah Safari? Maulida Komu je?

We kafiri wa chadema nani alikuambia huyo mbulu ni mwislamu,Mohamed mtoi hapo njaa inamsumbua maskini sijawahi kuona msambaa mjinga kama yule.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa na rafiki mkiristo. kwa bahati nzuri yeye anannyumba 10,Mimi ninanyumba 1, siku alipoina nyumba yangu aliingia chuki. akadai yaani muislam unanyumba?

Stori za namna hii hustawi sana kwenye vibanda vya kahawa na draft au bao.
 
hata zitto na arfi wanapigwa vita ndani ya chadema kwa sababu ni waislam tu. WANGALIKUWA WAKIRISTO unadhani makanisa yangalikuwa yafanya vikao vya siri kuwaunganisha. Wakiristo wamejiapanga kila kona

Kumbe Samson Mwigamba ni Muislam ehh...? Unalaana wewe..
 
Stori za namna hii hustawi sana kwenye vibanda vya kahawa na draft au bao.

Mi nauliza swali.
Muhaya na CHADEMA wapi na wapi??

We wenzako wanakula KISUSIO (damu na kinyesi vimechanganywa)

Wewe unakula matoke na chachandu (katerere)

Mbona picha hizi mbili haziendi??

.huna aibu wewe wazee wa muleba woote Ccm!
Au umeshaachiwa razi mbaya nini??
 
hata zitto na arfi wanapigwa vita ndani ya chadema kwa sababu ni waislam tu. WANGALIKUWA WAKIRISTO unadhani makanisa yangalikuwa yafanya vikao vya siri kuwaunganisha. Wakiristo wamejiapanga kila kona

Ungeishia kulumbana na hao mnaolumbana kwa dini zenu, habari ya vyama vya siasa imeingiaje hapa.!?
 
Yaani we siku zoote hizo ulikuwa hujui kuwa mimi SIO KAFIRI?
Amma kweli umenitusi leo!

Ntakutafuta kwa wakati wangu.

Kwenda zako huko, unitafute wapi mimi? Nyie wote mnafanana tu na Tv yenu ona mnavyotukana na kujiaibusha tu ni bora kuwa kimya
 
Hatimae mfumo kristu umeruhusu..nilikua nashangaa mbona wanaibania hii tv,nadhani pengo kampigia jamaa wa TCRA na kumwambia,''waruhusu kwa sasa kisha kuelekea jenero elekisheni tafuta sababu ya kuwafungia''.
We makalio Pengo kaingiaje hapa,una ushahidi Pengo karuhusu au kuzuia iyo Tv kupitia TCRA...
 
ficha utaahira wako watu kama ninyi ndio mnaotuletea chokochoko.kama unashindwa kuandika vitu ambavyo si vya chuki sio lazima ukoment mambo yanayogusa dini

Mkuu watu wa aina hii ukichunguza sana utakuta kajazia tu
 
Waislam msilalamike bure. tumewapa urais. rais hakai ofisini anakaa hewani. tumewapa makamu hakai ofisini anafungua washa. tumewapa mawaziri kibao uwaziri. wamekua miziho isiyobebeka. tumewapa viwanja pale Kibasila ..mmemuuzia Manji kwa bei chee. tumewapa ruksa ya kuoa wake wanne. mnaongoza kwa nyumba ndogo na umalaya. tumewafundisha usafi mnakuja oficini na janaba. tumesema nguruwe ni mchafu. waislamu wa kigogo wanaongoza kwa kutafuna kitimoto. mmepewa kur an mnasoma Biblia tena kwenye mihadhara. mpewe nini mtulie

Mkuu umenitengua mbavu zangu....Dahhhh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom