Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Atlast someone has come to her senses. tuwaombee na wengine wajitambue ili waache viburi visivyo na maana mpaka wengine kufikia kuvunja ndoa zao.
😂😂😂
 
Hebu nikute umeanza kula chips kuku hapo makasini- Uyole nakuja kulipa una akili sn.Halafu huwa tunavumilia sn maumivu makali kisirisiri bila watu kujua
Afu kama umejua ..Makasini natimba baadae😂
 
Ukifikishwa kibo na mawenzi🤣 wanaume wote unawaona malaika
Siku akikuvuruga unaona wanaume wooote mbwa tu, tena mbwa vichaa.
😂nimepitia mengi kufikia hapa cute....kuna mbwa na vicheche ila kondoo wapo pia
 
Back
Top Bottom