Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Juzi kuna mtu nimemtakia heri ya Christmas….majibu aliyonirudishia ….jamani pande za yeriko zilipasuka Kwa furaha.

Kuna wakati tu Nahitaji pia maneno mazuri,kukumbatiwa(unajihisi Uko salama)kupelekwa dinner sehemu na mengineyo mazuri mazuri.

Kuwa singo kuna ubaya na uzuri jaman
Huu msimu wa sikukuu nasikia na kuona mengi🤣🤣🤣
Mbona haya mambo sikuyasoma mwezi wa sita huko.
 
Juzi kuna mtu nimemtakia heri ya Christmas….majibu aliyonirudishia ….jamani pande za yeriko zilipasuka Kwa furaha.

Kuna wakati tu Nahitaji pia maneno mazuri,kukumbatiwa(unajihisi Uko salama)kupelekwa dinner sehemu na mengineyo mazuri mazuri.

Kuwa singo kuna ubaya na uzuri jaman
Kabisa mom...yaan acha tu
 
Aliyesema mwanaume ni kichwa alisahau kuwa mwanamke ni shingo, atakigeuza kichwa kitazame anakotaka, isipokuwa mgongoni
labda shingo ya bundi, maana bundi peke yake ndiye anaweza kuzungusha kichwa chake at 360 degree...hata hivyo ukiwa na mwanaume ambaye unaweza ukamgeuza akaufyata na akageukia kokote unakotaka ujue una bahati mbaya, huyo si mwanaume halisi.
 
Back
Top Bottom