Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Mahusiano yana heka heka nyingi,, unakuta unampenda mtu kumbe ye anapenda hela zake [emoji1787]

Ama mtu anakupenda kwa hisia ila anashindwa kukupenda na matendo yake.

Mara umependwa na mtu ambaye humfeel

Heee heka heka ni nyingi sana.
Hekaheka zitapungua ukipata mtu sahihi
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏

Tunashukuru Kwa dua yako.
Tutaendelea kuwapenda mpaka mkome
 
My reply... Mwaka 2023 utakuwa mzuri sana na hzi ndizo dalili!

To yeye post yako imewapa motisha wanaume wengi ndiyo maana wote wamefurahi nikiwemo mimi hapa[emoji4]

ni kitu kdogo ambacho knaweza kufanya upewe zawadi ya gari[emoji3]
..., ... Full stop.
 
Kwa mara ya kwanza mwanamke wa jf katambua umuhimu wa mwanaume..barikiwa sanaa 2 yeye...hata nyie mna umuhimu pia
 
My reply... Mwaka 2023 utakuwa mzuri sana na hzi ndizo dalili!

To yeye post yako imewapa motisha wanaume wengi ndiyo maana wote wamefurahi nikiwemo mimi hapa[emoji4]

ni kitu kdogo ambacho knaweza kufanya upewe zawadi ya gari[emoji3]
..., ... Full stop.
Mnipe sasa jamen
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
Bahati mbaya sana wanaume tunakwenda kupoteza identity yetu, wanaume wengi siku hizi kama mabinti
 
Ni kwel

kUna kidada kiliachika vibaya sana na kikanyang'anywa watoto,kilitokea kuwachukia wanaume sana,kikawa busy na kazi tu wanaume akiwapendi tena,tena kikisikia mwanaume anakiambia inshu za kukioa kinachukia balaa

Kimeishi hvyo muda mrefu sana,na mimi baada ya mke wangu kuhamia mbali na mimi nikawa nakiangalia tu na kifatilia nyendo zake siku moja nikakitokea kikakubali ila sikuwa na haraka ya kuomba mbususu,kametokea kunipenda sana mpaka kanajishangaa kuwa imekuwaje wakati nilikuwa nimeapa sitakuja kupenda tena na hawez kuwa na mume wa mtu lakin ndo hvyo limoyo limeshanidondokea

Siku moja nikajikuta nimemuita mke wangu,yaan kumuita alipagawa balaa,sahv hawez kuandika sms pasipo kuweka neno mume wangu,anasema amejikuta amekuwa ni mtu mwenye furaha sana
 
Ni kwel

kUna kidada kiliachika vibaya sana na kikanyang'anywa watoto,kilitokea kuwachukia wanaume sana,kikawa busy na kazi tu wanaume akiwapendi tena,tena kikisikia mwanaume anakiambia inshu za kukioa kinachukia balaa

Kimeishi hvyo muda mrefu sana,na mimi baada ya mke wangu kuhamia mbali na mimi nikawa nakiangalia tu na kifatilia nyendo zake siku moja nikakitokea kikakubali ila sikuwa na haraka ya kuomba mbususu,kametokea kunipenda sana mpaka kanajishangaa kuwa imekuwaje wakati nilikuwa nimeapa sitakuja kupenda tena na hawez kuwa na mume wa mtu lakin ndo hvyo limoyo limeshanidondokea

Siku moja nikajikuta nimemuita mke wangu,yaan kumuita alipagawa balaa,sahv hawez kuandika sms pasipo kuweka neno mume wangu,anasema amejikuta amekuwa ni mtu mwenye furaha sana
Angejua kuwa anaitwa "kidada"
 
Back
Top Bottom