Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,648
- 6,409
soon mwaka mpya utajiona😂tukuyu mjini mkuu
soon mwaka mpya utajiona😂tukuyu mjini mkuu
Siwezi kubadili kuta ni ndefu,but kuna dogo nae wa kike hii kazi anaiweza ashindwi kitu akirudi likizo labda,Khe nyie mpaka taa mnaita mtu???
Mimi mpaka holder ya taa nafunga mwenyewe.
Ndani kwangu kuna tester na vifaa vingine kama bisibisi nk.
Ila yote kwa yote wanaume wanahitajika sana(wanaojielewa lakini).
Muone Mwalimu Antonnia au To yeye wakupe connection ya kupata hao Me bora.Vyote
Ewaaaaa🤣🤣🤣Yaani haya?
1. Hunie/honey😘
2. Sweetheart😍
3. Darling❤
Au sijaelewa mimi?🤣🤣🤣
..........Utawezana lkn?🤩🤩🤩Ewaaaaa🤣🤣🤣
Maana nilianza kushangaa mbona dada asubuhi asubuhi kyee
Tutaongea kwanza wewe ndio utajua nitapata au unitafutie sc😂Umeshakosa ndugu yangu kaka Glenn nianze kukutafutia?
G bhana🤣🤣🤣🤣🤣..........Utawezana lkn?🤩🤩🤩
SC watakuua kaka🤣🤣🤣Tutaongea kwanza wewe ndio utajua nitapata au unitafutie sc😂
Sc akiwa moko nimefika tu.SC watakuua kaka🤣🤣🤣
Ivi kumbe alone😩😩Nataka nimtunze mpaka aamini watu wema bado tumesalia duniani.Mungu anisaidie
🤣🤣usije ukasema sikukwambia ..Sc akiwa moko nimefika tu.
Dunia ntaiweza mimi
Kwanza watanipata wapi?🤣🤣usije ukasema sikukwambia ..
Naiona kambaaa🎶🎶kambaaaa iliyofungwa vizuri🎶🎶😁😁Kwanza watanipata wapi?
Kama wanabisha wajitokeze.
Atakayejitokeza huyo amedhamiria kweli kweli na nitajitoa kwake peke yake😄
Umeandika Kwa uchungu😁😁Mambo yangu ni ya kizungu nafanyia peupe dunia ikiona...
Afrika ukichumbia su ukiwa na mpenzi...kipimo kizuri mshike mkono hadharana, mhug au mkiss hadharani.
Ukiona yuko huru na haogopi ujue kweli ameamua kuwa na wewe...vinginevyo atatoa sababu na kukwepa kushikwa mkono.
Hapo ujue mnapangwa.
Chakorii mimi nami natafuta hadharani siogopi kwakuwa sina mtu hapa😆😆
Maua hayana nyuki lakini huzungukwa na nyuki🤣🤣🤣🤣Umeandika Kwa uchungu😁😁
Sawa kabisa nimekuelewa vyema.
Nilijua sina mtu humu ndani peke yangu😁😁
Kaka ninaionaga miandiko mingi ya wadada ikikuzungukia halafu unaniambia huna mtu wea😀😀
Haya maneno yanatoka katika kitabu kipi ndani ya Biblia?ni mazito kiaina😆😆😆😆😆Maua hayana nyuki lakini huzungukwa na nyuki🤣🤣🤣🤣
Hao ni rafiki na adui zangu wa chitchat.
Sio kila anayekuchekea ni rafiki🤣
Hii ni biblia ya moyoni😃Haya maneno yanatoka katika kitabu kipi ndani ya Biblia?ni mazito kiaina😆😆😆😆😆
Zidumu hisia shupavu za kuthamini uanamume wa mwanamume. Wanaume woyoooooYaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.
Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.
Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏