Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

You said it well baby girl. Mwanaume Ana nafasi yake special kabisa katika maisha ya mwanamke. Hizi za kusema life can still goes on without a man Ni ya muda tu, itafika mahali utahisi kuchizika na upweke.Dear single ladies achaneni na kudanganywa na Hawa motivational speakers wa mchongo, be humble ,You need a man to be complete.
 
Yani na wanawake tungekuwa appreciated na wanaume kama hivi hakika ulimwengu wa mapenzi ungekuwa sehemu salama sana

Kinachotukwaza wengine ni kuona comments za matusi na makasiriko tu kwa wanawake kila siku yani

Bora tujifunze kutambuana umuhimu wa kila jinsia kwa nyenzie jamani
Feminist hii
 
To Yeye. Bandiko lako liwekwe kwenye kurasa za mbele kabisa. Hongera sana kwa kuutambiwa umuhimu wetu wanaume kwenu nyinyi KE.

Barikiwa sana.
 
Pole sana

Vipi kama ukipewa nafasi ya kumrithi Samia😝😝😝? Kabla ya kusoma uzi wako nilihisi unapig directly kick kwa mama kumbe sio. Aisee umenipiga kanzu mbele ya mashabiki lukuki bora niende JKU HUKO NILIPOCHEZAGA ZAMANI KAMA FEITOTO
 
Pole sana

Vipi kama ukipewa nafasi ya kumrithi Samia😝😝😝? Kabla ya kusoma uzi wako nilihisi unapig directly kick kwa mama kumbe sio. Aisee umenipiga kanzu mbele ya mashabiki lukuki bora niende JKU HUKO NILIPOCHEZAGA ZAMANI KAMA FEITOTO
Nikipewa hiyo nafasi ya samia,wanaume nitawabakiza wachache sana🙅
 
Back
Top Bottom