Fanya kama unamalizana naye moja kwa moja alafu tuone!Kuna MTU nipo nae nahisi ni perfect combo!
Fanya kama unamalizana naye moja kwa moja alafu tuone!Kuna MTU nipo nae nahisi ni perfect combo!
perfect combo!How?
Wanaume si tumekwama hapo👆Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe...
To yeye leo anafuraha sana, me naomba aende popote achukue kinywaji anachopenda! (whysky, Wyne, Beer, Juicy au Chochote) then bill juu yangu!Nenda pale dukani kwa mangi kachukue soda nitalipa iwe zawadi yako
Kwamba usiku to yeye aliwashiwa [emoji91]Asubuhi asubuhi na uzi wa sifa, itakua baharia mwenzetu katuwakilisha vema jana usiku, kitu ilichakatwa ile ile.
Hongera sana baharia huko ulipo
Hii ni aina gani ya kinywaji? hahahahMi nataka mate tu...sa itakuwaje
Tuwe makini wanaumeYaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe...
Huenda kuna jambo haliko sawa. Maana hawa hawa baadae hutuita🐕Mmekwamaje mkuu
Bei yake?😂 kubadilishana ndimi mbili zilizolowa