Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Juzi kuna mtu nimemtakia heri ya Christmas….majibu aliyonirudishia ….jamani pande za yeriko zilipasuka Kwa furaha.

Kuna wakati tu Nahitaji pia maneno mazuri,kukumbatiwa(unajihisi Uko salama)kupelekwa dinner sehemu na mengineyo mazuri mazuri.

Kuwa singo kuna ubaya na uzuri jaman
Hakuna raha ya kuwa mpweke ndio maana Mungu alituumba wawili. Its nature yani huwezi kwepa hata ukijizima data kuna muda utakufundisha adabu tu.

Wenzio wako vaccation wanainjoy na bebe zao kina baba Alvin wewe uko kwenye apartment unalia lia kama fala🤣🤣🤣
 
We unafikiri singo maza hawapendi kuwa na waume zao? Shida ni sisi wanaume ndo hatupendi kuoa singo maza ni wanaume wenzetu wachache sana walio bahatika kulogwa ndo wameoa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umeuaa
 
Hakuna raha ya kuwa mpweke ndio maana Mungu alituumba wawili. Its nature yani huwezi kwepa hata ukijizima data kuna muda utakufundisha adabu tu.

Wenzio wako vaccation wanainjoy na bebe zao kina baba Alvin wewe uko kwenye apartment unalia lia kama fala🤣🤣🤣
Mi ujinga huu sifanyi tena aisee
 
Back
Top Bottom