Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Juzi kuna mtu nimemtakia heri ya Christmas….majibu aliyonirudishia ….jamani pande za yeriko zilipasuka Kwa furaha.

Kuna wakati tu Nahitaji pia maneno mazuri,kukumbatiwa(unajihisi Uko salama)kupelekwa dinner sehemu na mengineyo mazuri mazuri.

Kuwa singo kuna ubaya na uzuri jaman
Chakorii naomba nikuulize kitu!?
 
QQUOTE="sajo, post: 44770414, member: 31094"]
Wanainjoi sana aisee, inawasaidia pia kujua mambo mapema, vitu kama hesabu na uongeaji
[/QUOTE]
Kupitia kuimba huko?
 
Huu msimu wa sikukuu nasikia na kuona mengi🤣🤣🤣
Mbona haya mambo sikuyasoma mwezi wa sita huko.
Wewe subiria mwezi wa kwanza tarehe za mbele mbele huko utakutana na makasiriko kwenye miandiko sio ya nchi hii😆
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.
Ukilingundua hili mapema utakula mema ya nchi ila ukijakuligundua ukiwa umechelewa aisee moto wa jehanam utakuanzia duniani
 
Juzi kuna mtu nimemtakia heri ya Christmas….majibu aliyonirudishia ….jamani pande za yeriko zilipasuka Kwa furaha.

Kuna wakati tu Nahitaji pia maneno mazuri,kukumbatiwa(unajihisi Uko salama)kupelekwa dinner sehemu na mengineyo mazuri mazuri.

Kuwa singo kuna ubaya na uzuri jaman
Ameeeennn.. Abarikiwe na azidi kukupa furaha dear kuna mtu ukiwa nae unaona kabisaaaa I'm in a safe place na you feel proud kuwa nae kwa si kwa maneno yake tu na matendo pia!!
 
Back
Top Bottom