Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Atlast someone has come to her senses. tuwaombee na wengine wajitambue ili waache viburi visivyo na maana mpaka wengine kufikia kuvunja ndoa zao.
 
Ni kwel

kUna kidada kiliachika vibaya sana na kikanyang'anywa watoto,kilitokea kuwachukia wanaume sana,kikawa busy na kazi tu wanaume akiwapendi tena,tena kikisikia mwanaume anakiambia inshu za kukioa kinachukia balaa

Kimeishi hvyo muda mrefu sana,na mimi baada ya mke wangu kuhamia mbali na mimi nikawa nakiangalia tu na kifatilia nyendo zake siku moja nikakitokea kikakubali ila sikuwa na haraka ya kuomba mbususu,kametokea kunipenda sana mpaka kanajishangaa kuwa imekuwaje wakati nilikuwa nimeapa sitakuja kupenda tena na hawez kuwa na mume wa mtu lakin ndo hvyo limoyo limeshanidondokea

Siku moja nikajikuta nimemuita mke wangu,yaan kumuita alipagawa balaa,sahv hawez kuandika sms pasipo kuweka neno mume wangu,anasema amejikuta amekuwa ni mtu mwenye furaha sana
Uzinzi ni dhambi...
 
Hebu nikute umeanza kula chips kuku hapo makasini- Uyole nakuja kulipa una akili sn.Halafu huwa tunavumilia sn maumivu makali kisirisiri bila watu kujua
 
Mahusiano yana heka heka nyingi,, unakuta unampenda mtu kumbe ye anapenda hela zake [emoji1787]

Ama mtu anakupenda kwa hisia ila anashindwa kukupenda na matendo yake.

Mara umependwa na mtu ambaye humfeel

Heee heka heka ni nyingi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahusiano yana heka heka nyingi,, unakuta unampenda mtu kumbe ye anapenda hela zake [emoji1787]

Ama mtu anakupenda kwa hisia ila anashindwa kukupenda na matendo yake.

Mara umependwa na mtu ambaye humfeel

Heee heka heka ni nyingi sana.
Ni tafrani tu.Halafu wewe Depal nimekutafuta hata tukae Sumni Tengeru pale tunywe mbeghe na lite umeingia mitini.Haya kimbia kama Kipchoge wa Kenya
 
Juzi kuna mtu nimemtakia heri ya Christmas….majibu aliyonirudishia ….jamani pande za yeriko zilipasuka Kwa furaha.

Kuna wakati tu Nahitaji pia maneno mazuri,kukumbatiwa(unajihisi Uko salama)kupelekwa dinner sehemu na mengineyo mazuri mazuri.

Kuwa singo kuna ubaya na uzuri jaman
🏃🏃 PM.
 
Back
Top Bottom