Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Lol nilihisi ni mubebezz dear sio mbaya pia!
Hata hivo pia alitumika tu kama njia kuja kukupatia hio furaha kwa wakati huo ambao ulihitaji kusikia hayo maneno!!
Hakuwa mmubebez mwaya.

Baada ya kusoma ujumbe wake nilicheka sana(Sijui kwanini)nilifurahi sana….nikalia sanaaaa..halafu nikajifungia ndani nikalewa Sanaa mpka nikazima.nakuja kustuka mlango unagongwa kama unataka kuvunjwa.

Sijui kwanini siku ile nilikumbwa na ile hali.ninajiuliza mpka sasa sipati jibu
 
Hakuwa mmubebez mwaya.

Baada ya kusoma ujumbe wake nilicheka sana(Sijui kwanini)nilifurahi sana….nikalia sanaaaa..halafu nikajifungia ndani nikalewa Sanaa mpka nikazima.nakuja kustuka mlango unagongwa kama unataka kuvunjwa.

Sijui kwanini siku ile nilikumbwa na ile hali.ninajiuliza mpka sasa sipati jibu
Upweke cute
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
Kila la kheri ktk penzi lako jipya.
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
Mhhh! Zawadi na marupurupu ya mwaka mpya yametiki, sio Bure hapa
 
Back
Top Bottom