Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Ni kweli kabisa my love.
Ninasikitika hata sio mpenzi wangu💔💔
Kwa siku ile nilitamani awe karibu yang maana nilikuwa mpweke kuliko kawaida 🥺
Lol nilihisi ni mubebezz dear sio mbaya pia!
Hata hivo pia alitumika tu kama njia kuja kukupatia hio furaha kwa wakati huo ambao ulihitaji kusikia hayo maneno!!
 
Back
Top Bottom