Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Mi siwez cute,sishindani na mwanaume asiyejitambua...namwacha aendelee na maisha yake
Perfect! So mature!

Alafu kun abaadhi ya wanawake wenzako humu dizain kama wamemind ww kusema ukweli, ni vile basi tu🤣
 
Perfect! So mature!

Alafu kun abaadhi ya wanawake wenzako humu dizain kama wamemind ww kusema ukweli, ni vile basi tu🤣
Wa nataka mjue umuhimu wetu pia
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.[emoji120]
Aleluyaa
 
Aah rafiki angu wewe unakurupuka 😃😃😃 nimesema hivo maana tangu huu mwaka uanze humu JF kuna thread mingi za kuponda wanawake

So nikasemea kupitia hio comment waache kutusemea vibaya waige mfano wa To yeye

Haya umeelewa sasa 😃😃
Wagumu kutusifu hao
 
Back
Top Bottom