Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,410
- 35,953
Aliepanga mafaili ya dada angu leo Hongera zake, nasubiri kesho na kesho kutwa Moto utawaka TU ht iweje lazima uwake.
Nijuavyo mimi kuna wanawake wa kisukuma ni wanyenyejevu na bora zaidi.Kuna watu ukikaa kimya sana anazidi, Ni hadi umpge yai kwanza.
Samwel nlijua lazima utie neno hapaAhsante kwa kutuheshimisha wacha na sie tujiheshimu sasa
Samwel tena, wakati ni CIA mgumu .!!?Samwel nlijua lazima utie neno hapa
Oa sasa
Nimependa Hilo neno,nimetafakari Sana,nikagundua kweli hao watu wapo. Hasa sisi wanaume,huwa tunaficha hisia za kupenda ili tusije kuonekana Kama mmetukamata.Hujakutana nao? 😂😂😂
Single mother kaolewa huku mtumeTo yeye nini kipya kimetokea?
Nilikuelewa vizuri sana lakini nilikutania tu kuwa ukiwa chumbani na anayeimwagilia chemchemi ya furaha rohoni mwako(Me), basi nawe uwe na haiba ya kike wala si kama Ke toka pande zile [emoji56]Aah rafiki angu wewe unakurupuka [emoji2][emoji2][emoji2] nimesema hivo maana tangu huu mwaka uanze humu JF kuna thread mingi za kuponda wanawake
So nikasemea kupitia hio comment waache kutusemea vibaya waige mfano wa To yeye
Haya umeelewa sasa [emoji2][emoji2]
Wasukuma ni wanyenyekevu hilo sijakataa lkn ukimfanyia ushenzi ikafikia hatua amechoka. KitakachofuataNijuavyo mimi kuqa wanawake wa kisukuma ni wanyenyejevu na bora zaidi.
Kwa koment hii itabidi nibadili mtazamo
[emoji28]Nijuavyo mimi kuqa wanawake wa kisukuma ni wanyenyejevu na bora zaidi.
Kwa koment hii itabidi nibadili mtazamo
Ccy itafikia hatua utachoka tu hakuna moyo usiochoka shida.Unaliacha liangaike na dunia.Tunapita hata ivo,muda tulionao siyo wa kuangaika na wasiojielewa
😂😂Kwani unaogopa?Yai gani jamaaa..!!?
Sema mnara wako ujengwe wap??Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.
Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.
Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
AmenYaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.
Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.
Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.[emoji120]
Hayupo humuMtaje hapa nimjue ili nimkanye aache kukuchezea we PISI KALI wa nguvu [emoji123][emoji275]
Mno mno tumetambuliwa umuhimu wetu. Tumeshukuru kwa kuliona hiloBasi wanaume wa JF wamefurahi hao.
Kulogwaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We unafikiri singo maza hawapendi kuwa na waume zao? Shida ni sisi wanaume ndo hatupendi kuoa singo maza ni wanaume wenzetu wachache sana walio bahatika kulogwa ndo wameoa