DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,518
ni wanaume wenzetu wachache sana walio bahatika kulogwa ndo wameoa
Mmh! Waliobahatika kufanyaje?
ni wanaume wenzetu wachache sana walio bahatika kulogwa ndo wameoa
Yaani shida tupu,wanaume ni muhimu aisee[emoji7]Ndo shida inapoanzia
Na pressure kubwa huwa mnaipata pale unapokuwa na mtu anakufikisha kileleni lakini hana hela, na mwenye hela kitandani hana mambo..!!Mahusiano yana heka heka nyingi,, unakuta unampenda mtu kumbe ye anapenda hela zake 🤣
Ama mtu anakupenda kwa hisia ila anashindwa kukupenda na matendo yake.
Mara umependwa na mtu ambaye humfeel
Heee heka heka ni nyingi sana.
Amen...baraka nimezipokeaa mkuu shukrani sana!Amen
Ubarikiwe sana we Mwanamke.
Hayo maneno uliyoyaandika ni sehemu ya wimbo wa Yvone Chakachaka aliimba akisisitiza tunavyohitajiana katika maisha na mahaba miongoni mwa wanaume na wanawake.Miaka ya kati ya '80!Ngoma gani Mkuu?
Leo hii yamekuwa haya..!!! SI MNASEMAGA SINGLE AND HAPPYYaani shida tupu,wanaume ni muhimu aisee[emoji7]
kwanini unaniwekea vikwazo lakin GCc Pande za Yeriko.
Shikamoo dada🤣
😂😂Mmh! Waliobahatika kufanyaje?View attachment 2461894
Wa kilele ndo amwagwe? SijaelewaKileleni ila awe na hekima kwa mpenziwe
Uliza tafadhaliChakorii naomba nikuulize kitu!?
Siyo hapa lakini 😉Uliza tafadhali
Hakuna kikwazo katika maisha ni maamuzi na kuchukua hatu tu sckwanini unaniwekea vikwazo lakin G
Shikamoo dada hiyo kwema
Ni kweli kabisa my love.Ameeeennn.. Abarikiwe na azidi kukupa furaha dear kuna mtu ukiwa nae unaona kabisaaaa I'm in a safe place na you feel proud kuwa nae kwa si kwa maneno yake tu na matendo pia!!