Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

tabia za walimu wenye degree mnapokuwa field ni kama za form two C. Maana ni vilaza katika kuandaa azimio la kazi,andalio la somo na nukuu za somo.
sasa waambie ubishoo na usista duu.nashangaa mnavyojitapa hapa.
mfano mzuri ajitokeze degree na diploma wanaomba kazi shule ya private ndo utajua nani aidi.

degree ninayemkubali ni aliyetoka diploma akajiendeleza.
 
Kuna content na pedagogy vitu viwili tofauti!!! Dip wameiva katika pedagogy wakati digrii ni content zaidi...
 
walimu wa degree si wazuri kwa o level unless alipiti diploma
 
degree kitu kingine Mzee,kuilinganisha na diploma ni sawa na Haruna Moshi Boban umfananishe na Di Maria
 
Kunamazingira mengi sanavyanayowafanya siploma kuonekana compentent zaidi ta degee holder but haimanishi degree holder hawapo vzr au diploma wapo vzr wote la hasha!
 
na we ni degree?

wadogo zangu diploma, nyie ni weupe, hamjaiva na hamwezi kulingana na degreee hata iweje, nifundisha na mwaka sasa tena curr teaching, mnachosoma kwenye curr hakifiii level ya degree mnasoma theory, teaching practice na baadhi ya vitu. kuna vitu vinaitwa PRO TYPE hakuna diploma anaesoma hata kwenye sylabus havipo, pia course design practical no one, so diploma ni wazur ktk nidhamu ya woga, lakini pia kufundisha form one and 2...msjalibu kulinganisha degree na diploma...degree ni Universal Education.
 
Yaani diploma unalinganishwa na degree diploma Leo mmepewa heshima msiyostahili nendeni shule mkasome acheni sifa msizofaa kupewa
 
unachekesha sn, tatizo mnasolve sn past paper za nacte ndo maana application ya mlichokisoma mnakuwa poor! Mimi nimesoma diploma shycom tc so naongea ninachokijua! Ni kweli diplm mnasoma kila somo content na methodology lkn when we come to application sioni maujanja yenu!

Mnaongoza kwa kutunza portifolio lkn mnafanya hivyo ili kupata marks za mwisho lkn unajikuta hakuna unachokijua! Hata modality ya presentation zenu hazina changamoto yyt!!

Nimezungumzua mitihani coz nimepitia mitihani iliyoandaliwa na walimu wa diplm yaan unashindwa kujua huyu mwalimu alikuwa anapima nini!! Yaan hata ukitaka kucompute discrimination index unakuta inakupa negative hii ni ishara tosha kuwa mtihani hauko standard.

Tunajua mmeyasoma mengi ila tunataka tuone yakitendeka! Umesoma reliability and validity of test halafu test zako zinakosa reliability and validity halafu unaleta hadithi hapa sijui measurement and evaluation kitu ambacho hata a form six student anaweza akaongea!

Tutakutana nyanjani ndo utajua tofauti ya degree na diploma!

wewe mwalimu au Mkaguzi?.
 
wewe mwalimu au Mkaguzi?.

2kutane mara ngapi mkuu?.. Interview zenyewe prvt sector lazima msubiri!.. Watishe ambao hawajui mkuu tofaut ya dip na degree jina tu!, tumepga na nyny tp watu wa Ruko, jordan, st John. May be wenze2 mko vzr kwnye kuvaa milegezo
 
Bear in mind, mwalimu wa diploma ki kanuni yampasa kufundisha kidato cha 1 na 2, na degree cha 3 na 4

Nınachoweza kubaini hapo ni uwezo mdogo wa uelewa wa wasomi wetu.Kwamba ukiwa na degree hauwezı kufundisha vizuri madarasa ya chinı?Nchi kama Urusi,madarasa ya chni hususanı chekechea na msingi yanafundishwa na walimu wenye elimu kubwa kuliko madarasa ya upili.Profesa hawezi kufundisha kwa ufasaha shule ya msingi au sekondari km siyo mwlmu.Wafundishao vyuoni wengi sio walımu ndo anaweza asiwe na ufanisi huko.Ila kila mwenye ngazi yoyote ya elimu anaweza kujiendeleza kwa ngazi ya juu.Walimu wa Dip ni wazuri kwa sababu ya namna waandalivyo,wanaandalıwa zaidi kıvitenda kwa upande wa taaluma na nidhamu.Graduate wanaotoka vyuo ambavyo sio rasimi kuandaa walimu ni wabovu sana hata upande wa contents.Ila wakienda shule nzuri wanakuwa shaped na kubadilika.
 
tumien akili achen kutumia makamasi
 

Attachments

  • 1429284432039.jpg
    1429284432039.jpg
    29.1 KB · Views: 206
2kutane mara ngapi mkuu?.. Interview zenyewe prvt sector lazima msubiri!.. Watishe ambao hawajui mkuu tofaut ya dip na degree jina tu!, tumepga na nyny tp watu wa Ruko, jordan, st John. May be wenze2 mko vzr kwnye kuvaa milegezo

majibu yako yanaonesha unanini kichwani!! Ndo mlikuwa mnadanganyana mabwenini ili kutiana moyo! Ni kawaida hata masikini wakikutana wakamuona tajiri anapita na gari watasema 'wote tutakufa na tutaoza' kwahiyo sikushangai coz hata mimi nilipokuwa diploma nilikuwa na kauli kama zako! Mimi field yangu ya kwanza nimeifanya mtwara tc ndo ujue kuwa degree ni tofauti na diploma ktk content!!

Ukimuona mwalimu mwenye degree yupo shallow mchunguze sn, mimi naamini ukiwa na degree unapaswa kuwa na maarifa makubwa juu ya taaluma yako na hiyo imani ndo ninayoiishi hadi kesho. Tutakutana nyanjani wala sio mbali ni next month so stay tune!
 
Harfu hakuna mwaka wa3 anaefanya btp kwa upande wa sekomu, labda aliwaona wap
 
walimu ni wavivu kfkr zaid ya kukarrisha wanafunzi maisha yanawalamba sana et wanatishiana mshahara?? hyo carbonate unayoipata ubaoni vp
 
wadogo zangu diploma, nyie ni weupe, hamjaiva na hamwezi kulingana na degreee hata iweje, nifundisha na mwaka sasa tena curr teaching, mnachosoma kwenye curr hakifiii level ya degree mnasoma theory, teaching practice na baadhi ya vitu. kuna vitu vinaitwa PRO TYPE hakuna diploma anaesoma hata kwenye sylabus havipo, pia course design practical no one, so diploma ni wazur ktk nidhamu ya woga, lakini pia kufundisha form one and 2...msjalibu kulinganisha degree na diploma...degree ni Universal Education.


Wote ni walimu na wote wanafundisha shule za sekondari,na wote mwajili wao ni mmoja.
suala la comptence litategemeana na mwlm mwenyewe ktk ku-update knowledge kila siku {namaanisha kusoma zaidi vitabu\materials mbali mbali}
unaweza ukawa na degree lakin contents kichwan ni zilezile za chuo ulizotokanazo huko {no updates},

lakin tambua kwamba mwlm wa dip ni comitted zaid wa degree.
 
tabia za walimu wenye degree mnapokuwa field ni kama za form two C. Maana ni vilaza katika kuandaa azimio la kazi,andalio la somo na nukuu za somo.
sasa waambie ubishoo na usista duu.nashangaa mnavyojitapa hapa.
mfano mzuri ajitokeze degree na diploma wanaomba kazi shule ya private ndo utajua nani aidi.

degree ninayemkubali ni aliyetoka diploma akajiendeleza.

walimu wa diploma wanapata kazi private school coz mnapewa mshahara mdogo pia walimu wa degree hawapendi kubuluzwa coz hatukufundishwa nidhamu ya woga ya kufanya mambo kwa kusikiliza kengele.

Km huwa unajidanganya kuwa ni content ndo zinawafanya muajiliwe basi upo nyuma ya wakati! Sekta yoyote degree holder anaogopwa coz kwanza lazima umpe mshahara mkubwa pia hapendi kuburuzwa kwenye haki.

Amka dogo umeshatoka bwenini
 
Back
Top Bottom