Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Kwani walimu wa diploma huandaliwa na walimu wa level gani?
Namshangaaa mkuu maana diploma anaandaliwa na degree...labda atuambie uwezo wa mtu mmoja mmoja
Kwani walimu wa diploma huandaliwa na walimu wa level gani?
huna jipya degree ya kikuda
kuelekea ajira mpya za walimu hebu tuwe wakweli wanaJF ni mwalimu yupi anaandaliwa vizuri kiuwezo na kimaadili pamoja na mbinu za kufundisha kati ya diploma na degree? ikumbukwe kuwa mwalimu wa diploma hufanya mtihani wa mwisho chini ya necta na akifeli somo moja (SUP) Haajiriwi wakati yule wa chuo kikuu husoma kwa semister..nina mifano ya watu kadhaa ambao walifeli diploma wakaamua kwenda chuo kikuu leo hii wana degree! pia hata shule nyingi za binafsi hawapendi wenye degree unless huyo mtu kapitia diploma kwanza! sitasema mengi najua kuna watu watanielewa tofauti....hata hivyo sina nia mbaya karibuni tujadili
Degree na diploma sawa na mbingu na ardhi. Dip ardhi degree mbingu. Hojadiploma kuna proffessional subject 8, na teaching subject 2.,
1: Education Media and Technology (EMT)
2: Information and computer technology (ICT)
3:Reserch evaluation and mesurement (REM)
4:Curriculum teachng ( CT)
5:Foundation of education(FED)
6: Pschology Guidance and counsellin(PGC)
7:Communication skills(CS)
8:development studies(DS),, Kama kuna jipya kwa BAED mtujuze kwa hoja.....
Nia yako ni nini? Unapoongelea elimu unaongelea individuals..uwezo wa mtu mmoja mmoja.
Mimi nina ndugu yangu Mwalimu wa degree kwa kweli ni msiba,,, hata kuandika barua tu ya kuomba kazi hajui,,, alinitumia barua yake ili niifanyie editing kwa kweli sikuweza il nilichofanya ni kuifuta yote na kuandika upya.. na wengi tu walimu wako hivyo sijui kwa nini unakuta mwalimu hata kuandika barua hajui... elimu za kukariri shida aisee
Soma ww kaongeze elimu usitafute pa kujifichia.. Hukuwa na qualification ya kwenda university ndo maana uko diploma lkn ss unaweza ukatumia hiyo stashahada yako kujipatia shahada.. Usijaribu kujitapatapa ujue ckuiz diploma hata digree inakosa uzito wake so better keep on studying.. Tafuta kwanza shahada mfn ya udsm uone ilivokuwa ngumu kupata
namshangaaa mkuu maana diploma anaandaliwa na degree...labda atuambie uwezo wa mtu mmoja mmoja
mimi nina ndugu yangu mwalimu wa degree kwa kweli ni msiba,,, hata kuandika barua tu ya kuomba kazi hajui,,, alinitumia barua yake ili niifanyie editing kwa kweli sikuweza il nilichofanya ni kuifuta yote na kuandika upya.. Na wengi tu walimu wako hivyo sijui kwa nini unakuta mwalimu hata kuandika barua hajui... Elimu za kukariri shida aisee
Ameshakuelewa mkuuUnahitaji elimu zaidi wewe, umeambiwa degree anasomea elimu na diploma anasomea ualimu, kitu kingine unanionesha kuwa hujui tofauti iliyopo kati ya administrator and manager, hapa ndipo tunapopishana. (Kwa lugha ya layman, administrator=mfanyakazi na Manager=bosi)