wadogo zangu diploma, nyie ni weupe, hamjaiva na hamwezi kulingana na degreee hata iweje, nifundisha na mwaka sasa tena curr teaching, mnachosoma kwenye curr hakifiii level ya degree mnasoma theory, teaching practice na baadhi ya vitu. kuna vitu vinaitwa PRO TYPE hakuna diploma anaesoma hata kwenye sylabus havipo, pia course design practical no one, so diploma ni wazur ktk nidhamu ya woga, lakini pia kufundisha form one and 2...msjalibu kulinganisha degree na diploma...degree ni Universal Education.
waambie hao madogo wanapima bahari kwa kidole, degree anafanya kazi taifa lolote sasa waende na diploma zao kimataifa km hawajarudi mikono nyuma! Degree ndo tunaoandaa mitaala madogo ni weupe ila wanajifanya kutunisha misuli hapa!