Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,609
- 59,732
Ndio ilikuwa maana yangu hiyoHii itakuwa kwa wenzetu nchi za mbali ambao system yao ya maji taka inafika mbali. Kwa hapa kwetu ni ngumu maana chemba hazina bomba za kupeleka uchafu sehemu zingine. Ikijaa ni inaletwa gari ya kunyonya maji taka. Na chemba hizi ziko almost sealed kitu kuweza kuingia.
Hata hivyo tuwe waangalifu.
Hao ni ulaya
Lakini you never know