Tuwe waangarifu tunapoenda maliwatoni

Tuwe waangarifu tunapoenda maliwatoni

Vyoo vingi vimeunganishwa na chemba kubwa hasa zinazomwaga maji yake baharini, hivyo ni rahisi nyoka kupenya chini kwa chini hadi kwenye nyumba za watu hasa ukizingatia nyoka anapita sehemu nyembamba sana
 
Hawa ni nyoka wa kufugwa ambao wanafuata drainage system mpaka nyumba nyingine
Lakini kwetu sidhani kama kuna system hii ambapo atashindwa kukwama mahali kwa pipe zetu za size tofauti

Kwa kweli watu walivyowaoga wa chatu amfuge nyumbani ampe mbuzi kwa mwezi duu sidhani
Hii itakuwa kwa wenzetu nchi za mbali ambao system yao ya maji taka inafika mbali. Kwa hapa kwetu ni ngumu maana chemba hazina bomba za kupeleka uchafu sehemu zingine. Ikijaa ni inaletwa gari ya kunyonya maji taka. Na chemba hizi ziko almost sealed kitu kuweza kuingia.
Hata hivyo tuwe waangalifu.
 
Back
Top Bottom