REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,158
- 11,258
Tutumie mfano mwepesi vijana waelewe na wajue kwanini kina polepole, kina mdude wametekwa kina tundu lisu wamepigwa risasi nk. na kwanini kuna watu wanatumia nguvu nyingi kubaki madarakani, wanapiga watu virungu, wapo tayali kuuwa watu
Wambieni hao ndio wale wanaotaka kubaki na mashamba ya familia nyumba ya familia wafaidike wao tu wakati mali ni za familia wana haki ya kujua kodi zinaliwa na nani na kwanini mashamba yanauzwa wakati wao wanafamilia wapo wana uwezo wakulima na kupata mazao, waelewe kina tundu lishu kina polepole nk. ndio wale ndugu ambao hawataki mali ya familia ipotee kwa wahuni wachache tuwambie vijana uko wajue kwanini wana wajibu wakupambania mali ya familia isipotee kwa wahuni wachache
Wambieni hao ndio wale wanaotaka kubaki na mashamba ya familia nyumba ya familia wafaidike wao tu wakati mali ni za familia wana haki ya kujua kodi zinaliwa na nani na kwanini mashamba yanauzwa wakati wao wanafamilia wapo wana uwezo wakulima na kupata mazao, waelewe kina tundu lishu kina polepole nk. ndio wale ndugu ambao hawataki mali ya familia ipotee kwa wahuni wachache tuwambie vijana uko wajue kwanini wana wajibu wakupambania mali ya familia isipotee kwa wahuni wachache