Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Mkuu kwa hakika unauzoefu,na naona ukijipanga unachukua hizi kazi MTU yeyote bila koneksheni
 
- Hata Kama kafeli interview? Hivi unajua Kuwa Kanuni za Uendeshaji wa sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma zinasema Kwa Kada ya Ufundishaji wa Vyuoni unatakiwa upate 70% kwenda Juu, Sasa Kama Kakosa hiyo 70% Maana yake hafai.
70% ktk oral au written?
 

Hahaha hapa kama wewe kimeo lazima uombe maji ya kunywa kwanza
 

Sorry

Sijaelea hapo IFM,TIA nje havitambuliki kwahiyo mtu akitaka kusoma Masters nje inakuwaje wakati ana bachelor kutoka hizo taasisi?
 
Kuna changamoto kiasi chake, moja ni pale itakapohitaji uthibitisho ama tafsiri ya matokeo yako toka kwenye mamlaka ya vyuo vikuu ya nchi. Kwa msingi huo anayetakiwa kufanya hivyo ni TCU ambaye sio msimamizi wa hivi vyuo vya kati. Sio kwamba haiwezekani bali kumekuwepo na changamoto kadhaa.
Sorry

Sijaelea hapo IFM,TIA nje havitambuliki kwahiyo mtu akitaka kusoma Masters nje inakuwaje wakati ana bachelor kutoka hizo taasisi?
 
oh sawa.
 
Si kweli mkuu, TCU walisha harmonize hiyo kitu, ikapandishwa toka 3.5 hadi 3.8. Nina uhakika na ninachokwambia na nimekuwa kwenye panel kadhaa kwa miaka sita iliyopita
Uko unaishi zamani.
Muongozo niliouona hauzidi miaka mitatu tangu utolewe.!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…