cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Cha Heaven Sent kabisaa. Wala hainipi shidaShem unajua kiingereza kama cha tinsley?![]()
Cha Heaven Sent kabisaa. Wala hainipi shidaShem unajua kiingereza kama cha tinsley?![]()
Yeah vyuo viko vingi, unachukua Dr mmoja kutoka DIT, au kutoka NELSON MANDELA,nkKwamba TA wa physics wa udsm awe assessed na dr wa chuo kingine![]()
Duuuh kumbe? Aiseee ngoja nijipange lazima nitoboe.Topic unachagua mwenyewe..tuliomba direct chuo na utumishi walokuwapo kusimamia tu ila oral wanakua wale doctors ndo wanauliza maswali..hr na secretary pia academic wa chuo husika anakuwapo.Panel ilikua na watu 7 na tuliitwa watano tu.Walianza na maswali general after that nkaona umeletwa ubao..Mark pen..ufutio nmeambiwa haya chagua topic yoyote utufundishe kwa nusu saa.
Una 3.8 ?Duuuh kumbe? Aiseee ngoja nijipange lazima nitoboe.
Yeah vyuo viko vingi, unachukua Dr mmoja kutoka DIT, au kutoka NELSON MANDELA,nk







Impossible future tense- Kwa utaratibu wa Utumishi Kama ilivyoelezwa huko juu na wadau ni kwamba Watu kutoka department husika ya Chuo ndiyo wanakuja kwenye interview, Sio Kwa UDSM vyuo vyote vile iwe IAA Watu kutoka IAA Watakuja,Impossible future tense
- Kwa utaratibu wa Utumishi Kama ilivyoelezwa huko juu na wadau ni kwamba Watu kutoka department husika ya Chuo ndiyo wanakuja kwenye interview, Sio Kwa UDSM vyuo vyote vile iwe IAA Watu kutoka IAA Watakuja,
-Mbona UDSM wengi wanafeli interview za Utumishi na wengine wanaambulia alama singo digit, kusomea UDSM haimaanishi utaweza kupambana na interview za Utumishi unless uwe Msomi wa uhakika.
- Ngoja nikuulize swali Lecturer wa DIT, NELSON MANDELA etc mwenye PhD ya Engineering atashindwaje kumuuliza maswali na Kumtahini?, Msomi wa Kiwango Cha Chini kabisa Kwa Kada ya Wanataaluma i.e Tutorial assistant, Hivi unajua Chuo Kama Nelson Mandela (Chuo Cha PhD na Masters) Ukiwa na degree unaonekana Kama hujasoma



Nicheke kwanza,, siku wakiweka hvo nambie,,,
Mkuu wa department anapeleka maombi ya kuongezewa staff,, watakaofanya kazi chini yake,, then interviewer atoke nelson Mandela 

raha sanaaaLinapokuja hili swala hasa la wakufunzi- Kwa utaratibu wa Utumishi Kama ilivyoelezwa huko juu na wadau ni kwamba Watu kutoka department husika ya Chuo ndiyo wanakuja kwenye interview, Sio Kwa UDSM vyuo vyote vile iwe IAA Watu kutoka IAA Watakuja,
-Mbona UDSM wengi wanafeli interview za Utumishi na wengine wanaambulia alama singo digit, kusomea UDSM haimaanishi utaweza kupambana na interview za Utumishi unless uwe Msomi wa uhakika.
- Ngoja nikuulize swali Lecturer wa DIT, NELSON MANDELA etc mwenye PhD ya Engineering atashindwaje kumuuliza maswali na Kumtahini?, Msomi wa Kiwango Cha Chini kabisa Kwa Kada ya Wanataaluma i.e Tutorial assistant, Hivi unajua Chuo Kama Nelson Mandela (Chuo Cha PhD na Masters) Ukiwa na degree unaonekana Kama hujasoma




utajua hujui
Ipo zaidi ya hiyo, nitanyimwa kwa vigezo vingine, ila km n GPA nikionesha tyuuh napewa kazi.Una 3.8 ?
-Inaonekana hujasoma paragraph ya Kwanza ya chapisho langu, au Pengine labda huna Uelewa was kutosha kwenye kutafsiri hoja, Chapisho langu la Kwanza lilikuwa wazi kabisa Kuwa, Department husika Ndiyo unafanya mchakato na nikanukuu hoja za wwada.Nicheke kwanza,, siku wakiweka hvo nambie,,,
Mkuu wa department anapeleka maombi ya kuongezewa staff,, watakaofanya kazi chini yake,, then interviewer atoke nelson Mandela
raha sanaaa
Yani kweli,hizi kazi ni noma.Mimi nilijua unakutana na watu tofauti,kumbe unahojiwa na mwalimu aliyekuwa chuoni kwenu?!wenye chuo husika washapata kazi
Mkuu Capto, basi kumbe waliosoma hivyo vyuo wanauhakika Wa kutoboa kwa nafasi za U TANicheke kwanza,, siku wakiweka hvo nambie,,,
Mkuu wa department anapeleka maombi ya kuongezewa staff,, watakaofanya kazi chini yake,, then interviewer atoke nelson Mandela
raha sanaaa
Upendelo mtupu wanaturudisha kwenye Mambo ya connection Yale yale.Yani kweli,hizi kazi ni noma.Mimi nilijua unakutana na watu tofauti,kumbe unahojiwa na mwalimu aliyekuwa chuoni kwenu?!wenye chuo husika washapata kazi
Tunaweza itwa hata 100 nafasi moja,kweli GPA watu wametusuaIpo zaidi ya hiyo, nitanyimwa kwa vigezo vingine, ila km n GPA nikionesha tyuuh napewa kazi.
Hujaelewa nilichokiandika (umesoma nelson Mandela nn-Inaonekana hujasoma paragraph ya Kwanza ya chapisho langu, au Pengine labda huna Uelewa was kutosha kwenye kutafsiri hoja, Chapisho langu la Kwanza lilikuwa wazi kabisa Kuwa, Department husika Ndiyo unafanya mchakato na nikanukuu hoja za wwada.
- Hoja yangu ya mwisho Hiyo tunaita ni By the way, obiter dicta,
- Au ww unataka kupinga kwamba kwamba PhD kutoka NELSON MANDELA hawezi kukutahini kwenye interview kwa sababu umesoma UDSM?


) what i am sayn ni kwamba dunia nzima utaratibu wako hauwezi kutumika
Hata sense of humour huna 
Kabisa mkuu,hatutoboi maana wewe huwezi kuacha mwanafunzi wako Wa MUST uchukue mwingine,kumbe ni tabu tupuUpendelo mtupu wanaturudisha kwenye Mambo ya connection Yale yale.
98% ya TA wa udsm ni waliosomea hapo 1.5 wamesoma vyuo vya kueleweka nje 0.5 ni wa nje ya udsmMkuu Capto, basi kumbe waliosoma hivyo vyuo wanauhakika Wa kutoboa kwa nafasi za U TA
Sio upendeleo ni different philosophy ndio maana siwezi chukua someone out of my collegeUpendelo mtupu wanaturudisha kwenye Mambo ya connection Yale yale.
Hahaha raha ya kusoma ndo hii sasa,Tunaweza itwa hata 100 nafasi moja,kweli GPA watu wametusua
Unamjua jamaa mmoja anaitwa antipas pamba?Hahaha raha ya kusoma ndo hii sasa,