Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Hiii unafikiri kama umechaguliwa kuwa AT wa physics udsm utafanyiwa assessment na mtu mwingine??, dadeki ni panel nzima ya idara waliochaguana sio poa,, so unachopresent wanakijua a to z ole wako udanganye
Udsm kama huna jina linaloanzia na Ruta ama kule karibu na mlima mrefu sahau kupata.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiii unafikiri kama umechaguliwa kuwa AT wa physics udsm utafanyiwa assessment na mtu mwingine??, dadeki ni panel nzima ya idara waliochaguana sio poa,, so unachopresent wanakijua a to z ole wako udanganye
Hiyo si tabu mkuu kama ground itaachwa sawa,isiwe kwa sababu kasoma kwetu hats kama mbovu abebwe.kuhusu kupiga interview ya maana wala si ishu.asante mkuu,karibu kwa nyongeza.
 
Presentation tu i.e Uwasilishaji Mada na unatakiwa upate 70% hapa Kazi ipo, hivi baada ya Presentation wanakuuliza Maswali? Naomba kujua.
Hii tuwaombe watueleze,na I we 70%.aisee kumbe ni moja kwa moja oral interview ambayo ni uwasilishaji topic?
 
Ila Kama Watu WA department ya chuo husika wanakuwepo kwenye interview basi jua kabisa kutakuwa na upendeleo mtupu na kujuana.
Tena hata hamna maana ya Utumishi,sababu watapangana tu
 
Mkuu nimefanya kazi SUA niko na Bachelor tu, nilikuwa nalipwa PUSS ya kuanzia kabisa 1.5 basic sio Academician hapo TA amenizidi hiyo nikuwa napata. Labda hiyo 1.2 itakuwa ni net, yani hapo ana makato mengi.
Huyo jamaa kama haelewi yani unamuuliza ndugu yako mshahara wake alafu utarajie akutajie kwa usahihi ili upange bajeti zako kupitia hela yake. Lazima akate laki kadhaa kwanza au hakwambii kabisa
 
Aisee balaa,sasa topics kila somo,hiii bhagosha.kukumbuka ni mtihani sana.mliitwa wangapi? Na he ilikuwa Utumishi au chuo wenyewe?
Topic unachagua mwenyewe..tuliomba direct chuo na utumishi walokuwapo kusimamia tu ila oral wanakua wale doctors ndo wanauliza maswali..hr na secretary pia academic wa chuo husika anakuwapo.Panel ilikua na watu 7 na tuliitwa watano tu.Walianza na maswali general after that nkaona umeletwa ubao..Mark pen..ufutio nmeambiwa haya chagua topic yoyote utufundishe kwa nusu saa.
 
Habarini za wakati huu?

Kutokana na wadau wa jukwaa hili uwa bize na upendo wa baadhi ya kazi zinazotafsiriwa kama zenye kipato izuri na kwa kiwango iubwa wadau na watafutaji wamekuwa hawaipi nafasi kazi ya ukufunzi au Tutorial Assistant.

Historia inaonesha kuwa wale wote waliokuwa maprofesa na wasomi nguli walianzia katia ngazi ya chini kabisa yaani T.A

Wadau hapo jana kumekuwepo na muendelezo wa matangazo ya ajira mbalimbali serikalini ikiwemo ya T.A, karibuni tujadili ubora wa asali katia nafasi hii, aina ya maswali kwa wenye uzoefu na aina hii ya kazi, changamoto na maslahi yake kwa ujumla.

Karibuni Wapambanaji.
Academician at work.Unataka uwe member wa UDASSA ili mkilewa Bia safari tu-discuss mambo ya nadharia za research na business modals?Karibu nipo hapa UDASSA rafiki!!
 
Topic unachagua mwenyewe..tuliomba direct chuo na utumishi walokuwapo kusimamia tu ila oral wanakua wale doctors ndo wanauliza maswali..hr na secretary pia academic wa chuo husika anakuwapo.Panel ilikua na watu 7 na tuliitwa watano tu.Walianza na maswali general after that nkaona umeletwa ubao..Mark pen..ufutio nmeambiwa haya chagua topic yoyote utufundishe kwa nusu saa.
Chuo husika hakitakiwi kuleta mtu yoyote yule, wachukue wa Vyuo vingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom