Wasikutishe kabisa, ukiwa vizuri kwenye presentation hawawezi kukuacha, oral ni maswali yakawaida sana yanahusu fani yako, watakupiga maswali ya kutosha kwenye eneo hilo. Kumbuka kuna panel na kila mmoja anascore. Mwisho zinajumlishwa na waliofaulu wanajulikana. Kama kuna manjogi labda huyo ndugu yake aombe maswali kwa panel members wengine na sio wote wanakubali huo ujinga. Kuna dogo tulimuinterview chuo fulani, alikuwa kasoma nje, vyeti vyote kiarabu, alikula maswali mpaka ambayo si fani yake, ilipofika presentation alifanya maajabu. Sasa ana PhD yake na yuko only 30 years.