Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Wasikutishe kabisa, ukiwa vizuri kwenye presentation hawawezi kukuacha, oral ni maswali yakawaida sana yanahusu fani yako, watakupiga maswali ya kutosha kwenye eneo hilo. Kumbuka kuna panel na kila mmoja anascore. Mwisho zinajumlishwa na waliofaulu wanajulikana. Kama kuna manjogi labda huyo ndugu yake aombe maswali kwa panel members wengine na sio wote wanakubali huo ujinga. Kuna dogo tulimuinterview chuo fulani, alikuwa kasoma nje, vyeti vyote kiarabu, alikula maswali mpaka ambayo si fani yake, ilipofika presentation alifanya maajabu. Sasa ana PhD yake na yuko only 30 years.
Written interview kwa assistant lecturer huwaje?
 
1683956921216.png
 
Itategekea na chuo ila vyuo vingi mnapiga paper ya written ambayo ni research na field yako. Inakusanywa.
Baada ya hapo mnaingia mnapewa kuandae presentation ya kama nusu saa hivi kama unaandaa kipindi halafu zinakusanyea pia. Baada ya hapo mnaitwa kupresent mlichoandaa na maswali yanatoka humo humo kwenye presentation yako.
Kama unaijua field yako ni kitu kinawesekana kupenya.
Salary 1.7mil
Hii ni kabla au baada ya makato na kama ni kabla take home ni bei gani?
 
Niliisikia kuwa Wana posho ya vipindi,
Ahaa kumbe inaweza kusogea hadi 1.5m kwa serikalini kwa level ya degree sio mbaya, japo kuna taasisi kadhaa ziko vizuri, ila kipato hicho ni kizuri kuliko kada nyingi kwa entry level.
 
Ahaa kumbe inaweza kusogea hadi 1.5m kwa serikalini kwa level ya degree sio mbaya, japo kuna taasisi kadhaa ziko vizuri, ila kipato hicho ni kizuri kuliko kada nyingi kwa entry level.
Inazidi 1.5m kwa sababu itategemea na Chuo na masaa uliyofundisha, kuna vyuo vinatoa 15000/- kwa saa, vingine 10,000/- kwa saa
 
GPA iwe poa.
Salary iko poa gari hukosi la kubebea mbususu za wanachuo pia pale samakifish mcity. Unataka Tena kwenye maisha kijana ea kiafrika akili zetu zimeishia hapo. Subiri Kwanza tuko bize namie awamu nibinafsishe ngorongoro so nawatoa wamasai Kwanza.

Mbona wengine wameuza migodi hamjaongea na wanakula perse mpaka kesho. Watu wamebinafsisha mashirika ya imma mie ngorongoro tu mnapiga kelele jamani Hapa wazaungu na warabu wataiba wanyama wote hapa patafanywe pawe pabaya.unadhani Ni Nani asiyependa watalii lazima mwarabu atengeneze mbuga kule wewe si haumini baadaye huku kutakuwa kubaya so watu wengi wataelekea uarabuni huku hakutakuwa Tena baada ya 100 yrs andikeni vitabu.

Yaani baada ya 300yrs tutakuwa tunaenda kuaaoana wanyama wetu huko kwao. Yaani baba afrika basi tu acha tu tule mbususu ndiyo hazina tuliyopewa. Naanza kuona why black America hawataki kurudi kwao na ukimuita mwafrika anaweza akaku shoot ujue. Yaani hapa eti tunapendwa wageni watembelee huku sir tupate hela jamani. Sijawahi ona mtu anaweka paja la kuku kwa mdomo wa mwenzake akakosea kuweka mdomoni mwake.
Ibu mkuu kama upo hai. Ebu ongeza sauti kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom