Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

wanakosea wachukue watu wenye GPA hata za kawaida wawaweke pale kwenye interview waone mbivu na mbichi

jamaa angu nimempita GPA ila alikuwa dedicated anafundisha watu na wanaelewa kweli, wenye gpa kubwa walikuwa hawana time ya kumfundisha mtu...

Unaajili Lect hana hata habari ya kufundisha kazi kusifia credentials zake kasoma UK sijui ana PhD halafu anafundisha havieleweki
Ni kweli mkuu,tena naona huwa wanaita wachache sana wakiwa wengi ni 50 tu
 
Naona saivi utumishi wanaita direct kwenye oral kwa nafasi za kufundisha... sie tuliitwa oral moja kwa moja. Jiandae tu kuandaa presentation na kupresent
Pereti
Naomba ufunguke,yani ilikuwa moja kwa moja kuwasilisha presentation? Na mliitwa wengi maana naona huwa wanaitwa wachache.
Je kwakuwa ni masomo,huwa wanauluza Yale mambo class kwa wingi. Funguka mkuu Perreti
 
Aisee kumbe ni Presentation, na cha kuwasilisha wanakupa au unajichagulia?
 
Wakuu toeni uzoefu Wa hizi kazi, maana huwa watu ni kama hawazioni,sijui kwanini aisee maana zina kamshahara kazuri sana.
 
Hiyo ni kwa baadhi ya vyuo sana binafsi. Public vingi kama sio vyite wanataka GPA ya 4.0 masters ambae ni assistant lecturer. Na TA ni GPA kuanzia 3.8
Kwa mwendo huu wa GPA hvyo vyuo vyao watafundisha haohao akina John Kisomo.. Yaan nasoma Hadi napata GPA ya 4.0 undergraduate na hizi kozi zetu tulizosoma nataka kuwa nani...!!! Mabaharia wenzangu eeeh, kama una GPA kuanzia 2.8 - 3.5 kozi za Science gonga 5👊 hapa zinatutosha sana 😁😁 na kazi tutapata tu
 
Nadhani huwa wanafanya written ya language baadae unamaliza na Oral ya presentation.
Ni oral na presentation tu. Huwa hazina waombaji wengi, GPA ndio kikazwo kikubwa, ni kazi nzuri kwa anaependa kusoma. Unakuwa na muda wa kutosha kufanya mishe zako kwani haikkubani sana, Maslahi ni mazuri ukilinganisha na kada nyingine nyingi za utumishii wa umma, ukiwa assistant lecturer unaanza na si chini ya 2.7. M
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom