Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Si kweli mkuu, TCU walisha harmonize hiyo kitu, ikapandishwa toka 3.5 hadi 3.8. Nina uhakika na ninachokwambia na nimekuwa kwenye panel kadhaa kwa miaka sita iliyopita
Ni kweli lakini naona Luna wengine wanataka 3.5
 
Naona saivi utumishi wanaita direct kwenye oral kwa nafasi za kufundisha... sie tuliitwa oral moja kwa moja. Jiandae tu kuandaa presentation na kupresent
Sawa mkuu,wanatoa cha kupresent au unachagua wewe? Aisee inatakiwa uwe vizuri sana
 
Hahaaaaaa kaka mi nina ndugu yangu ni TA SUA huo mshahara ataufikia labda 2026 ila kwa sasa hata 1.2 hafiki
Kakudanganya

T.A PUTS 1.1 basic ni 1.9(na upekepeke)

anaweza lamba take home hadi 1.2 kama hana makato ya bodi ya mkopo anavuta parefu.

Akienda upgrade to master anakunja parefu pia mengine ni kujiongeza tu.

Kumbuka T.A ni seed inayopandwa na chuo huyu muhadhiri au professor wa baadae.
 
Hahaaaaaa kaka mi nina ndugu yangu ni TA SUA huo mshahara ataufikia labda 2026 ila kwa sasa hata 1.2 hafiki
Mkuu nimefanya kazi SUA niko na Bachelor tu, nilikuwa nalipwa PUSS ya kuanzia kabisa 1.5 basic sio Academician hapo TA amenizidi hiyo nikuwa napata. Labda hiyo 1.2 itakuwa ni net, yani hapo ana makato mengi.
 
Kwenye Vyuo vya Nchi zilizoendelea, hii ni moja ya kazi ngumu sana na unakosa muda wa kufanya kazi nyingine maana unatakiwa utoe maandiko (published papers) na kama ww upo kwenye field ya science ndo kabisa utakesha laboratory ukifanya experiments ili u publish papers, hapo hapo inakubidi ufanye kazi za kiutawala, ufundishe na kusimamia wanafunzi na kufanya projects zote ambazo chuo itakuwa inapokea kutoka kwnye taasisi na makampuni kuja laboratory uliyopo. Ni one of the busiest job on earth kama ukifanya nje ya nchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom