namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 747
Umeandika nini?Kuna kijana wangu ana 3.5 ameomba iaa na ifm na ndo vigezo walivoweka vip anaweza pata
Umeandika nini?Kuna kijana wangu ana 3.5 ameomba iaa na ifm na ndo vigezo walivoweka vip anaweza pata
Unadhani u-tutorial assistant ni dili sana au? Kuna wakulungwa huko wana-institute Government policies wana elimu ya kawaida tu.ngoja tupamba
tupamabane,kama udsm hapo ni tabu kwelikweli kupata.
You nail it!!!MaGPA yenyewe ya kupeana haya. Me pale chuo siku niliposhuhudia mwalimu amempa solution paperwork dem wake ambaye akaenda kuwapatia wadangaji wenzake wanaostay nyumba moja. Na kwenye paper yule binti akatoboa na A+ ndipo nikajua elimu usitazame performance ya cheti.
Mwite mtu ajiexpress kwa kichwa chake amebebelea nini. Makampuni mengi wamegundua huu upuuzi kuwa wanaingia gharama kuajiri watu ambao hawana vigezo mwisho wa siku wanapata hasara maana ufanisi kiutendaji ni zero.
Huko tuendako makampuni watajua na kuelewa kuwa cheti cha masomo ni qualification ya kuingia tu katika interview ila kumpata best candidate ni kupitia interview ya oral.
Heeee,sawa mzee.hongereni kwa hayo magari yenu.Unadhani u-tutorial assistant ni dili sana au? Kuna wakulungwa huko wana-institute Government policies wana elimu ya kawaida tu.
Ofisi, marupurupu na usafiri full mi-vxr-v8, ni funika mbaya.
Ma-profesa wa SUA/UDSM/IFM/UDOM n.k wakasome namba!
Usikariri kijana.
OPEN University ni 3.8Mbona Moccu ni university na open university na wao ni university wameweka 3.5 ache kukatisha watu tamaa kama una 3.5 omba tu hujui unaweza pata

MaGPA yenyewe ya kupeana haya. Me pale chuo siku niliposhuhudia mwalimu amempa solution paperwork dem wake ambaye akaenda kuwapatia wadangaji wenzake wanaostay nyumba moja. Na kwenye paper yule binti akatoboa na A+ ndipo nikajua elimu usitazame performance ya cheti.
Mwite mtu ajiexpress kwa kichwa chake amebebelea nini. Makampuni mengi wamegundua huu upuuzi kuwa wanaingia gharama kuajiri watu ambao hawana vigezo mwisho wa siku wanapata hasara maana ufanisi kiutendaji ni zero.
Huko tuendako makampuni watajua na kuelewa kuwa cheti cha masomo ni qualification ya kuingia tu katika interview ila kumpata best candidate ni kupitia interview ya oral.

Mimi hata km nimekula chumvi nyingi huo mshahara unanifaa,sema muda wa kufanya mishe zangu je,nitaupata Kweli,au ndio ni kukomaa na kazi mwanzo mwisho??.Ni kazi nzuri kwa kijana anaeanza maisha baada ya chuo. Mshahara wa 1.8m kwa kijana wa miaka 24 sio mbaya. Kwa sisi tuliokula chumvi nyingi ni hela ndogo haitoshi.
Unapata mkuuMimi hata km nimekula chumvi nyingi huo mshahara unanifaa,sema muda wa kufanya mishe zangu je,nitaupata Kweli,au ndio ni kukomaa na kazi mwanzo mwisho??.
Hapo sawa.Unapata mkuu
Hapo sawa.
SawaHapo sawa.
OPEN University ni 3.8
Sio kwasababu pale ni Open basi kila kitu mtelezo![]()

Vyuo vyote vinavyoitwa university ni 3.8 kwa Institute naona ni 3.5OPEN University ni 3.8
Sio kwasababu pale ni Open basi kila kitu mtelezo![]()
Topic unachagua mwenyewe..tuliomba direct chuo na utumishi walokuwapo kusimamia tu ila oral wanakua wale doctors ndo wanauliza maswali..hr na secretary pia academic wa chuo husika anakuwapo.Panel ilikua na watu 7 na tuliitwa watano tu.Walianza na maswali general after that nkaona umeletwa ubao..Mark pen..ufutio nmeambiwa haya chagua topic yoyote utufundishe kwa nusu saa.
Kwa vyuo vikuu ni kuanzis 3.8, ila Kwa college ni kuanzia 3.5. nasis tunakupa Huu uzoefu pokeaSi kweli mkuu, TCU walisha harmonize hiyo kitu, ikapandishwa toka 3.5 hadi 3.8. Nina uhakika na ninachokwambia na nimekuwa kwenye panel kadhaa kwa miaka sita iliyopita
Mbona Moccu ni university na open university na wao ni university wameweka 3.5 ache kukatisha watu tamaa kama una 3.5 omba tu hujui unaweza pata
Mkuu, nashukuru sana kwa taarifa. Uko sahihi kabisa, hiyo 3.8 ni kwa vyuo vya elimu ya juu vilivyo chini ya TCU.Kwa vyuo vikuu ni kuanzis 3.8, ila Kwa college ni kuanzia 3.5. nasis tunakupa Huu uzoefu pokea
Kina Taifawengine tulipanga nao mitaa ya uswazi gorani,msewe udsm enzi hzo
Kaka sponsorship unayopata si kama scholarships zingine.. Mara nyingi ni very limited budgets. Mtu anasoma na frustrations nyingi.. mpaka wakitoka huko hawana weredi kabisa. Wanangu kibao wanalalama. Bora wangesoma kwa ruzuku za serikaliUkiwa T.A kuna opportunity ya kujiendeleza tena chuo wenyewe wanakusponsor kila tu hata kwenda kusoma nje ya nchi
Kaka sponsorship unayopata si kama scholarships zingine.. Mara nyingi ni very limited budgets. Mtu anasoma na frustrations nyingi.. mpaka wakitoka huko hawana weredi kabisa. Wanangu kibao wanalalama. Bora wangesoma kwa ruzuku za serikali