Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

ngoja tupamba

tupamabane,kama udsm hapo ni tabu kwelikweli kupata.
Unadhani u-tutorial assistant ni dili sana au? Kuna wakulungwa huko wana-institute Government policies wana elimu ya kawaida tu.

Ofisi, marupurupu na usafiri full mi-vxr-v8, ni funika mbaya.

Ma-profesa wa SUA/UDSM/IFM/UDOM n.k wakasome namba!

Usikariri kijana.
 
MaGPA yenyewe ya kupeana haya. Me pale chuo siku niliposhuhudia mwalimu amempa solution paperwork dem wake ambaye akaenda kuwapatia wadangaji wenzake wanaostay nyumba moja. Na kwenye paper yule binti akatoboa na A+ ndipo nikajua elimu usitazame performance ya cheti.

Mwite mtu ajiexpress kwa kichwa chake amebebelea nini. Makampuni mengi wamegundua huu upuuzi kuwa wanaingia gharama kuajiri watu ambao hawana vigezo mwisho wa siku wanapata hasara maana ufanisi kiutendaji ni zero.

Huko tuendako makampuni watajua na kuelewa kuwa cheti cha masomo ni qualification ya kuingia tu katika interview ila kumpata best candidate ni kupitia interview ya oral.
You nail it!!!
 
Unadhani u-tutorial assistant ni dili sana au? Kuna wakulungwa huko wana-institute Government policies wana elimu ya kawaida tu.

Ofisi, marupurupu na usafiri full mi-vxr-v8, ni funika mbaya.

Ma-profesa wa SUA/UDSM/IFM/UDOM n.k wakasome namba!

Usikariri kijana.
Heeee,sawa mzee.hongereni kwa hayo magari yenu.
 
MaGPA yenyewe ya kupeana haya. Me pale chuo siku niliposhuhudia mwalimu amempa solution paperwork dem wake ambaye akaenda kuwapatia wadangaji wenzake wanaostay nyumba moja. Na kwenye paper yule binti akatoboa na A+ ndipo nikajua elimu usitazame performance ya cheti.

Mwite mtu ajiexpress kwa kichwa chake amebebelea nini. Makampuni mengi wamegundua huu upuuzi kuwa wanaingia gharama kuajiri watu ambao hawana vigezo mwisho wa siku wanapata hasara maana ufanisi kiutendaji ni zero.

Huko tuendako makampuni watajua na kuelewa kuwa cheti cha masomo ni qualification ya kuingia tu katika interview ila kumpata best candidate ni kupitia interview ya oral.

Kabisa
 
Ni kazi nzuri kwa kijana anaeanza maisha baada ya chuo. Mshahara wa 1.8m kwa kijana wa miaka 24 sio mbaya. Kwa sisi tuliokula chumvi nyingi ni hela ndogo haitoshi.
Mimi hata km nimekula chumvi nyingi huo mshahara unanifaa,sema muda wa kufanya mishe zangu je,nitaupata Kweli,au ndio ni kukomaa na kazi mwanzo mwisho??.
 
He
Topic unachagua mwenyewe..tuliomba direct chuo na utumishi walokuwapo kusimamia tu ila oral wanakua wale doctors ndo wanauliza maswali..hr na secretary pia academic wa chuo husika anakuwapo.Panel ilikua na watu 7 na tuliitwa watano tu.Walianza na maswali general after that nkaona umeletwa ubao..Mark pen..ufutio nmeambiwa haya chagua topic yoyote utufundishe kwa nusu saa.
 
Ukiwa T.A kuna opportunity ya kujiendeleza tena chuo wenyewe wanakusponsor kila tu hata kwenda kusoma nje ya nchi
Kaka sponsorship unayopata si kama scholarships zingine.. Mara nyingi ni very limited budgets. Mtu anasoma na frustrations nyingi.. mpaka wakitoka huko hawana weredi kabisa. Wanangu kibao wanalalama. Bora wangesoma kwa ruzuku za serikali
 
Mkuu kwani pesa za chuo sio za serikali? Hata hivyo ni mara chache sana kupelekwa nje kusoma kwa hela za ndani. Mara nyingi watu huenda kwa scholarship zao wenyewe walizotafuta, scholarship zinazotolewa na mashirika makubwa yanayopiga tafu vyuo vikuu ama scholarship kutokana na miradi maalumu inayofadhiliwa na mashirika makubwa yasiyo ya kiserikali.
Kaka sponsorship unayopata si kama scholarships zingine.. Mara nyingi ni very limited budgets. Mtu anasoma na frustrations nyingi.. mpaka wakitoka huko hawana weredi kabisa. Wanangu kibao wanalalama. Bora wangesoma kwa ruzuku za serikali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom