Tutashuhudia kutangazwa kwa hali ya hatari?

tatizo la viongozi wetu wanapenda tu madaraka lakini bahati mbaya hawajapewa hekima ya kujua lipi ni baya na lipi ni hatari na lipi tulitatue lini na kwa mbinu ipi.hapa utashangaa kuna watu wanaomba dua machafuko yatokee ili wakamilishe dili fulani kati kati ya hizi vurugu mechi,na kwa sababu kila kitu huwa tunakiona kidogo kutokana na ufinyu wa akili zetu sasa kinatupasukia.afadhali kidogo bara lakini naamini kwa znz zikiisha siku tatu farid hajaonekana usalama wa zanzibar utakuwa katika hali tete sana kisidumu chama cha mapinduzi .
 
Mi nashangaa sana maskini wa kutupwa sisi watanzania tunapigana eti kwa sababu ya uislam na ukristu wakati wenye dini zao wanakula bata Arabuni na Ulaya.
Turudie dini zetu za jadi za enzi za mababu zetu bana
 
A state of emergency is a governmental declaration that may suspend some normal functions of the executive, legislative and judicial powers, alert citizens to change their normal behaviors, or order government agencies to implement emergency preparedness plans. It can also be used as a rationale for suspending rights and freedoms, even if guaranteed under the constitution. Such declarations usually come during a time of natural or man made disaster, during periods of civil unrest, or following a declaration of war or situation of international or internal armed conflict. Justitium is its equivalent in Roman law.


In some countries, the state of emergency and its effects on human rights and freedoms and governmental procedure are regulated by the constitution and/or a law that limits the powers that may be invoked. Rights and freedoms may be suspended during an emergency, for instance, freedom of movement, but not non-derogable rights. In many countries it is illegal to modify the emergency law or the constitution during the emergency.

Ubaya wa hii kitu ikitumika vibaya inaweza kuathiri hata demokrasia pia kwa kuzuia shughuli za siasa za kivyama.

Extraordinary Powers of the State Authority



Article 31
(1) Apart from the provisions of Article 30(2), any law enacted by Parliament shall not be void for the reason only that it enables measures to be taken during a state of emergency or in normal times in relation to persons who are believed to engage in activities which endanger or
prejudice the security of the nation, which measures derogate from the provisions of Articles 14 and 15 of this Constitution.
(2) It is here by prohibited to take any of the measures referred to in sub-article (1) of this Article in pursuance of any law during a state of emergency or in normal times in relation to
any person, save only to the extent that they are necessary and justifiable for dealing with the situation that exists during the state of emergency, or in normal times dealing with the situation created by the conduct of the person concerned.
(3) it is hereby declared that the provisions of this Article shall not authorize the deprivation of a person's right to live save only for deaths resulting from acts of war.
(4) In this and the following Articles of this Part, state emergency means any period during which the Proclamation of State of Emergency made by the President in the exercise of the
powers conferred on him by Article 32, is in force.

Article 32
(1) Subject to this Constitution or to any law enacted by Parliament in that behalf, the President may proclaim a state of emergency in the United Republic or in any part thereof.
(2) The President may proclaim a state of emergency only if-
(a) the United Republic is at war; or
(b) there is real danger that the United Republic is about to be invaded and to be in a state of war; or
(c) there is actual situation of breakdown of public order or non-existence of public security in the United Republic or in any part thereof such that it is necessary to take extraordinary measures to restore order and security; or
(d) there is a clear and grave danger such that the breakdown of public order and the cessation of public safety in the United Republic or any part thereof are inescapable except by invoking the extraordinary powers; or
(e) there is imminent occurrence of danger, disaster or environmental calamity which threatens the society or part thereof in the United Republic or,
(i) there is some other kind of danger which clearly constitutes a threat to the state.
(3) In the event a state of emergency is proclaimed in relation to the whole of the United Republic, or to the whole of Mainland Tanzania or the whole of Tanzania Zanzibar, the President shall forthwith transmit a copy of the proclamation to the Speaker of the National Assembly who, after consultation with the Leader of Government Business in the National Assembly shall convene a meeting of the National Assembly within not more than fourteen
days, to consider the situation and decide, whether to pass or not to pass a resolution, which has to be supported by the votes of not less than two thirds of all members, in support of the proclamation of a state of emergency issued by the President.

(4) Parliament may enact a legislation providing for times and procedures which will enable certain persons in charge of Government functions in specified areas of the United Republic to request the President to exercise the powers conferred on him by this Article in relation to any of those areas where there exists any of the situations specified in paragraphs (c), (d) and (e) of sub-article (2) and such situation does not extend beyond the boundaries of such areas, and also for the purpose of specifying the exercise of executive during a state of
emergency.
(5) A proclamation issued by the President pursuant to this Article shall cease to have effect-
(a) if it is revoked by the President;
(b) if fourteen days lapse from the date of the proclamation without there being passed the
resolution referred to in sub-article (3);
(c) after the lapse of a period of six months from the date of the proclamation; save that a sitting of the National Assembly may, before the expiration of the period of six months, extend from time to time the period of the operation of the proclamation for further periods of six months by a resolution passed by votes of not less than two-thirds of all the members present;
(d) at any time when a meeting of the National Assembly revokes the proclamation by a
resolution supported by votes of not less than two-thirds of all the members.
(6) For the avoidance of doubt in the interpretation or application of the provisions of this article, the provisions of legislation enacted by Parliament and of any other law, concerning the proclamation of a state of emergency as provided for in this Article shall apply only to the part of the United Republic in respect of which the state of emergency has been proclaimed.

 
Mkuu hapa umenena ila naomba nikukumbushe kitu, vita na waislamu haitakaa iishe hata kama jeshi lina 100% wakiristo. Waislamu wako brainwashed kiasi cha kuamini kwamba ukiua mkiristo mmoja hata kwa kujilipua na wewe ukafa unaenda mbinguni.
Hivyo watafanya kila hila hata kwa mabomu ya kuvaa.
Take note, they are so poor in terms of skills, knowledge and materials such that they dont have anything to loose if they die. They are ready for anything.

exactly
 
Wakati wa utawala wa Mwalimu Ali Hassan Mwinyi paliibuka mihadhara ya waislamu wenye siasa kali kukashifu ukristo na wakristo wengi hasa wakatoliki waliyumbishwa sana. Serikali haikuonyesha kushtushwa na mihadhara hiyo. Kina Kilaini walipofadhili kundi la Biblia ni Jibu ambalo lilikuwa na watu waliobobea kwenye uislamu ambao baadaye walibadilika na kuwa wakristo watu kama kina Simbaulanga, moto mpya uliwashwa, jamaa waliichambua koran na Biblia mpaka kuutikisa uislamu kwa kiasi kikubwa. HAPO SERIKALI IKAONA KUNA HATARI, IKAPIGA MARUFUKU MIHADHARA.

Leo hii muislamu yuko madarakani na ndio mkuu wa System na System yenye amiri jeshi mkuu huwa haina tabia ya kufanya mambo yanayoweza kumuudhi mkuu wa System( Amiri jeshi mkuu). Hivyo JK kwa usoni atajifanya kukerwa na baadhi ya waislamu wahuni kuchoma moto makanisa, lakini moyoni anasema 'big up'. Ingekuwa sivyo tungeona kwa matendo.

Hali ya hatari itatangazwa leo hii pale misikiti kumi ya Dar es Salaam na Mwanza itakapolipuliwa kwa mabomu na kikundi cha wakristo wahuni ambacho kimepewa jina la 'National Crusade'. Hizi dini mbili zina wahuni wengi japo wahuni wa kikristo wanaonekana wastaarabu zaidi.

Mambo ya ndani pamoja na TISS msiseme hamkutaarifiwa. Na hapa kama kuna wa kumlaumu ni jamaa yenu J. Halfani Kikwete.

Kama misikiti kumi haitachomwa leo wakati wa ibada basi mniite mwongo. Siyo msikiti mmoja au miwili- KUMI.

Mkuu,vipi tena!wakristo hawawezi fanya hivyo!
 
tokea 1995 hawa wahuni wanaojiita wanamtandao walijipanga kuchukua nchi kwa gharama yoyote ili waje kufuja hazina kama wanavyofanya sasa,..rais haishi kwenda nje,pesa lukuki zinatumika,mara waziri mkuu yupo nje,spika,makamu wa rais,mara waziri flani,yani hawana agenda yoyote ya kuondoa umasikini zaidi ya kutimiza kile walichosema"sasa ni zamu yetu"mkome watanzania kuchagua viongozi kama majuha.
 
Kama kuna kipindi naumia moyo sababu ya nchii yangu ni sasa!! Ninashangaa kwanini Raisi haoneshi kujali kwa hawa ndugu zetu Waislam?..Naanza kukubali kua Kikwete hakufaa kutuongoza!! Ndugu zangu watanzania wapenda amani Dunia ya sasa Dini inaongoza katika mauaji!!na huu ugonjwa uloikumba nchi yetu ni laana mbaya sana!!

yeye yuko busy arabuni na wawekezaji
 
Mkuu,vipi tena!wakristo hawawezi fanya hivyo!

Ni kweli wakristo hawawezi kufanya hivyo na tumeambiwa waislamu pia hawawezi kufanya hivyo, lakini hawa ni wakristo wahuni wakijibu mashambulizi ya waislamu wahuni kama ilivyokuwa Biblia ni Jibu walipowajibu Mujahidina. We subiri kidogo tu, saa saba siyo mbali wala saa kumi siyo mbali, kama hakutachomwa misikiti kumi na kadhaa leo, basi mnitangaze kuwa mwongo. Vijana watapita na pikipiki na kurusha mabomu mawili kila mmoja na kila msikiti watapita watano.
 
Wakuu ktk hali hii ya wasiwasi, Tusije tukawalaumu Polisi kushindwa kuidhibi hii hali, na dalili zinaonekana!Hivyo basi mh raisi kwa mamlaka tuliyo mpa atangaze HALI YA HATARI MAENEO YOTE HATARISHI! Ili vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama viwe Stand2!USIPOZIBA UFA UTAJENGA NYUMBA! Muda utakuwa hakimu.
 
Mpaka rais kutangaza hali ya hatari bado hatua yake haijafika. Hii ni rabsha rabsha ndogo ndogo tu, usiogope.
 
senkyu vere machiiiiiiieeee! hivi huyu mwenye hii slogan anaendeleaje??? mlioko apolo nijuzeni tafadhali! kuhusu lolote la rais, ' i have no comment'!
 
Wakuu ktk hali hii ya wasiwasi, Tusije tukawalaumu Polisi kushindwa kuidhibi hii hali, na dalili zinaonekana!Hivyo basi mh raisi kwa mamlaka tuliyo mpa atangaze HALI YA HATARI MAENEO YOTE HATARISHI! Ili vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama viwe Stand2!USIPOZIBA UFA UTAJENGA NYUMBA! Muda utakuwa hakimu.


yuko oman anakaguwa misikiti
 
Siasa ni kitu kibaya sana, hakika chuki za udini zimapandikizwa na wanasiasa, hili suala lipo uchi kabisa!
 
Back
Top Bottom