ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,656
- 43,718
- Thread starter
- #61
Kuna kitabu cha dini kinasema :Wewe unadhani tufanyeje, ccm imeshikilia kila kitu kuanzia madaraka mpaka majeshi, kama wao watataka mabadiliko ya kikatiba, mabadiliko ya kimfumo, itakuwa rahisi. Ila hawataki na hawatakubali kubadilisha chochote maana wanajua any changes and they're out.
Mtu ambaye hataki make mezani muongee unadhani utatumia njia gani kuelewana nae, tell me!!
Usimnyime mtoto wako mapigo
maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa Utampiga kwa fimbo, na kumponya nafsi yake na kuzimu