Tutalalamika mpaka lini?

Tutalalamika mpaka lini?

Mambo ya wananchi yapi? Wananchi wameuliwa ndugu zao zaidi ya 500 wengine kila leo kutekwa. Wao hawahitaji haki za ndugu zao?
Kuuliwa tu ndiyo hoja , yaani kama sio kufanya uasi unafikiria wangeuliwa , ona sasa unaenda kufanya vurugu unakufa kwa kufuata mkumbo ....Kule USA watu kila mwaka zaid ya laki tano wanapotea , mbona hawafanyi uasi .


Vurugu hazikubaliki na hakuwa wa kulaumiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom