Tutalalamika mpaka lini?

Tutalalamika mpaka lini?

Ili kufanikiwa lazima mambo hayo yawe ni mahitaji ya wananchi sio wanasiasa , kufanikiwa ngumu kama mtabaki na mambo ya kufuatilia mijadala ya demokrasia..Wananchi ndiyo wenye nchi sio viongozi , viongozi wanataka kula kodi za wananchi yaani wanasiasa wote , kila shughuli ya kisiasa basi wanatafuna kodi zetu .

Mngeacchana na uchawa siasa ndipo tukaungana ila kama mmebaki kushikilia siasa zile zile za kiafrika mtaisha ..Mfano hapo kenya , kenya wana katiba mpya ,wanpokezana madaraka ila maandamano kila siku .


Twende kule senegal , juzi wameandamana kisa maisha magumu baada ya kumuingiza mpinzani .Ombi langu tusije kuingia sehemu ambayo itakuwa majuto zaidi , harakati za wanasiasa ni drama wote ni wazee wa bahasha .Unatkiwa ujue kwamba unachotaka kina impacts za moja kwa moja na unachofikiria , usije kufikiria kwamba kuna mwanasiasa ataingia na watu watakuwa wanapata pesa kirahisi bila yaa kufanya kazi .

Elimu za darasani hazileta ukombozi ,usidanganywe demokrasia italeta maendeleo , fanya tathmini zenu kwa sababu mpaka leo hamjui tatizo liko wapi .
Nimeona hapo neno uchawa
Labda kama hufatilii mabandiko yangu mimi sina uchawa wa ki jinga kabisa

Ikipatikaka katiba mpya
Swala la muungano likaangaziwa

Mihimili yote ikafanya kazi kwa weredi bila kusomana

Malalamiko hayataisha kibinadamu ila yatapungua sana hata kwa asilimia 80

Hao Senegal na Kenya unaowatolea mifano huwezi kujifananisha nao kwa chochote

Kitu unachopaswa kujua saivi hata ukipika gizani tutawasha taa tutamulika
 
Mwaka 2000 baada ya uchaguzi kukatokea machafuko makubwa sana Zanzibar, wananchi waligomea matokeo ambayo dhahìri kabisa Maalim Seif aliporwa ushindi

Yale maandamano yalifanya vikosi kutoka Tanganyika kupelekwa kutuliza ghasia ambazo ama kwa hakika watu wengi sana walipotezwa.

Toka 2000 mpaka leo wazanzibari wamekuwa wapole sana, hata wakiporwa ushindi wanakaa kimya.

Fast forward 2025 October, mambo yamekuwa kama kule unguja. Hii maana yake nini, Tanzania kama haitakuwa na wanasiasa wenye utashi wa kukaa mezani na kuweka mambo sawa, tutaongozwa kidikteta miaka mingi ijayo, nasema kidiktrta kwa sababu katiba ya 1977 ambayo kimsingi imezeeka, haiendani na maisha ya sasa, inakumbatiwa na watawala kwa sababu tu inawapa favours nyingi kuendelea kutawala.

Raisi ambaye ni mwenyekiti wa chama hawezi kuwa ndio anateua mwenyekiti wa INEC, wakurungenzi wa kusimamia uchaguzi, watendaji wa serikali za kata/mitaa/vijiji halafu useme kuna uchaguzi, hakuna fair grounds hata kidogo.

What to do, watch!!
 
Mwaka 2000 baada ya uchaguzi kukatokea machafuko makubwa sana Zanzibar, wananchi waligomea matokeo ambayo dhahìri kabisa Maalim Seif aliporwa ushindi

Yale maandamano yalifanya vikosi kutoka Tanganyika kupelekwa kutuliza ghasia ambazo ama kwa hakika watu wengi sana walipotezwa.

Toka 2000 mpaka leo wazanzibari wamekuwa wapole sana, hata wakiporwa ushindi wanakaa kimya.

Fast forward 2025 October, mambo yamekuwa kama kule unguja. Hii maana yake nini, Tanzania kama haitakuwa na wanasiasa wenye utashi wa kukaa mezani na kuweka mambo sawa, tutaongozwa kidikteta miaka mingi ijayo, nasema kidiktrta kwa sababu katiba ya 1977 ambayo kimsingi imezeeka, haiendani na maisha ya sasa, inakumbatiwa na watawala kwa sababu tu inawapa favours nyingi kuendelea kutawala.

Raisi ambaye ni mwenyekiti wa chama hawezi kuwa ndio anateua mwenyekiti wa INEC, wakurungenzi wa kusimamia uchaguzi, watendaji wa serikali za kata/mitaa/vijiji halafu useme kuna uchaguzi, hakuna fair grounds hata kidogo.

What to do, watch!!
Tutafanyaje na CCm hawataki mabadiliko.
 
Morning wana JF

Watanzania tumekuwa tukilalamika kila siku kuhusu uongozi na mambo mbalimbali ambayo hatupendezwi nayo

1. Tumeongea sana tukiomba maboresho ya Katiba

2. Tumezungumza sana kuhusu kupitiwa upya kwa suala la Muungano

3. Tumezungumza kuhusu Mahakama na utendaji kazi wake

(Mpaka sasa tunaona mwenendo wa kesi ya mwenyekiti wa chadema TL inavyoenda huku watu wakiwa na mashaka makubwa )

Na mengine mengi sana

Lakini mpaka sasa hakuna matokeo chanya ya kutosha, licha ya kwamba tulipo leo sio tulipokuwa jana
Kuna mambo yamebadilika, lakini bado kuna mengi ambayo tumekuwa tukiyazungumza kwa miaka mingi bila kuona mabadiliko tunayoyatarajia

Tumeona nchi kadhaa zikifanya jitihada za pamoja
Wananchi wameungana, wameandamana na kudai mabadiliko na katika baadhi ya nchi hata jeshi liliishia kuingilia kati baada ya shinikizo kubwa kutoka kwa wananchi

Hii mifano nimeweka hapa nimesoma huko mitandanoni
👇
Mfano, Philippines mwaka 1986, wananchi waliungana katika maandamano makubwa ya amani yaliyokuja kujulikana kama People Power Revolution, na hatimaye utawala wa Ferdinand Marcos ukaondoka

Tunisia mwaka 2011, wananchi waliingia barabarani kudai mabadiliko na maandamano yakawa makubwa kiasi cha kumfanya Rais Zine El Abidine Ben Ali kuondoka madarakani

Sudan mwaka 2019, wananchi waliandamana kwa miezi kadhaa wakidai mabadiliko, mpaka hatimaye Omar al-Bashir akaondolewa madarakani baada ya miaka takribani 30 ya utawala

Hapa kwetu tulijaribu pia
Kupaza sauti zetu tukiwa na madai mbali mbali

Lakini wote tunajua nini kilitokea October 29 💔

Na wote tunajua mtu anayekwenda kinyume na watawala au anayesema mambo fulani hadharani, mara nyingi kinachoweza kumpata

Ukiongea hadharani unatulizwa

Sasa tutaongea chumbani?

Kama hatuwezi kuongea hadharani, kama hatuwezi kuuliza maswali, kama hatuwezi kukosoa na kudai mabadiliko bila kuogopa, basi tutaikomboaje hii nchi?

Na ninaposema kuikomboa, simaanishi kwamba twende kwenye vurugu au kumwaga damu (nisinukuliwe vibaya)

Ninamaanisha taifa ambalo wananchi wawe waamuzi wa mwisho
Taifa ambalo mwananchi awe na uhuru wa kuzungumza, kuuliza, kukosoa, kuchagua na kushiriki katika kuamua mustakabali wa nchi yake

Kwa sababu sasa tumeongea sana

Tumeandika sana

Tumeomba sana

Tumeilalamikia serikali kwa mambo mengi sana

Lakini swali linabaki pale pale

Nini kifanyike ili tutoke kwenye kulalamika?

Kwa sababu sasa tutalalamika mpaka lini?

Je, tunahitaji nini kama wananchi ili sauti yetu iwe na nguvu na iweze kuleta matokeo?

Na kama nchi nyingine zimewahi kufikia hatua wananchi wakaungana na kudai mabadiliko mpaka yakatokea, sisi tatizo letu ni nini?

Tunashindwa kuungana?

Tunaogopa?

Hatuna imani kwamba tunaweza kubadilisha mambo?

Au bado tunasubiri mtu mwingine aje atufanyie?

ShesRise_1 ✋️
People make history and history make people. Don't stress, watu wachache tu ndio huamsha , huchochea au huleta mabadiliko katika nyakati zisizotarajiwa kabisa na kutengeneza historia yao na ya jamii zao.
 
Morning wana JF

Watanzania tumekuwa tukilalamika kila siku kuhusu uongozi na mambo mbalimbali ambayo hatupendezwi nayo

1. Tumeongea sana tukiomba maboresho ya Katiba

2. Tumezungumza sana kuhusu kupitiwa upya kwa suala la Muungano

3. Tumezungumza kuhusu Mahakama na utendaji kazi wake

(Mpaka sasa tunaona mwenendo wa kesi ya mwenyekiti wa chadema TL inavyoenda huku watu wakiwa na mashaka makubwa )

Na mengine mengi sana

Lakini mpaka sasa hakuna matokeo chanya ya kutosha, licha ya kwamba tulipo leo sio tulipokuwa jana
Kuna mambo yamebadilika, lakini bado kuna mengi ambayo tumekuwa tukiyazungumza kwa miaka mingi bila kuona mabadiliko tunayoyatarajia

Tumeona nchi kadhaa zikifanya jitihada za pamoja
Wananchi wameungana, wameandamana na kudai mabadiliko na katika baadhi ya nchi hata jeshi liliishia kuingilia kati baada ya shinikizo kubwa kutoka kwa wananchi

Hii mifano nimeweka hapa nimesoma huko mitandanoni
👇
Mfano, Philippines mwaka 1986, wananchi waliungana katika maandamano makubwa ya amani yaliyokuja kujulikana kama People Power Revolution, na hatimaye utawala wa Ferdinand Marcos ukaondoka

Tunisia mwaka 2011, wananchi waliingia barabarani kudai mabadiliko na maandamano yakawa makubwa kiasi cha kumfanya Rais Zine El Abidine Ben Ali kuondoka madarakani

Sudan mwaka 2019, wananchi waliandamana kwa miezi kadhaa wakidai mabadiliko, mpaka hatimaye Omar al-Bashir akaondolewa madarakani baada ya miaka takribani 30 ya utawala

Hapa kwetu tulijaribu pia
Kupaza sauti zetu tukiwa na madai mbali mbali

Lakini wote tunajua nini kilitokea October 29 💔

Na wote tunajua mtu anayekwenda kinyume na watawala au anayesema mambo fulani hadharani, mara nyingi kinachoweza kumpata

Ukiongea hadharani unatulizwa

Sasa tutaongea chumbani?

Kama hatuwezi kuongea hadharani, kama hatuwezi kuuliza maswali, kama hatuwezi kukosoa na kudai mabadiliko bila kuogopa, basi tutaikomboaje hii nchi?

Na ninaposema kuikomboa, simaanishi kwamba twende kwenye vurugu au kumwaga damu (nisinukuliwe vibaya)

Ninamaanisha taifa ambalo wananchi wawe waamuzi wa mwisho
Taifa ambalo mwananchi awe na uhuru wa kuzungumza, kuuliza, kukosoa, kuchagua na kushiriki katika kuamua mustakabali wa nchi yake

Kwa sababu sasa tumeongea sana

Tumeandika sana

Tumeomba sana

Tumeilalamikia serikali kwa mambo mengi sana

Lakini swali linabaki pale pale

Nini kifanyike ili tutoke kwenye kulalamika?

Kwa sababu sasa tutalalamika mpaka lini?

Je, tunahitaji nini kama wananchi ili sauti yetu iwe na nguvu na iweze kuleta matokeo?

Na kama nchi nyingine zimewahi kufikia hatua wananchi wakaungana na kudai mabadiliko mpaka yakatokea, sisi tatizo letu ni nini?

Tunashindwa kuungana?

Tunaogopa?

Hatuna imani kwamba tunaweza kubadilisha mambo?

Au bado tunasubiri mtu mwingine aje atufanyie?

ShesRise_1 ✋️
Siku wenyenchi wakishiba watatuachia makombo.
 
Hili linawezekana vipi
Kwa mazingira yaliyopo na namna watu wamevunjika moyo kwa lile la mo 29
Unajua kwamba Serikali haitawali kwa sababu tu ina polisi, mahakama, jeshi, fedha nk. Inatawala pia kwa sababu sisi wananchi tunaendelea kutambua na kuheshimu mamlaka yake na kushirikiana nayo.

Kwa hiyo, kama serikali inakiuka kwa kiasi kikubwa masharti yaliyofanya mamlaka yake ikubalike, wananchi tunaweza kuanza kudai upya mamlaka yetu ya kisiasa kupitia umoja wa kiraia, NGO's, maandamano ya amani, kutoshirikiana na vitendo visivyo vya haki, habari huru na uhamasishaji wa uasi kwa wananchi wengine

Soma kitu kinaitwa social contract nafikiri utaelewa vizuri.
 
Mwaka 2000 baada ya uchaguzi kukatokea machafuko makubwa sana Zanzibar, wananchi waligomea matokeo ambayo dhahìri kabisa Maalim Seif aliporwa ushindi

Yale maandamano yalifanya vikosi kutoka Tanganyika kupelekwa kutuliza ghasia ambazo ama kwa hakika watu wengi sana walipotezwa.

Toka 2000 mpaka leo wazanzibari wamekuwa wapole sana, hata wakiporwa ushindi wanakaa kimya.

Fast forward 2025 October, mambo yamekuwa kama kule unguja. Hii maana yake nini, Tanzania kama haitakuwa na wanasiasa wenye utashi wa kukaa mezani na kuweka mambo sawa, tutaongozwa kidikteta miaka mingi ijayo, nasema kidiktrta kwa sababu katiba ya 1977 ambayo kimsingi imezeeka, haiendani na maisha ya sasa, inakumbatiwa na watawala kwa sababu tu inawapa favours nyingi kuendelea kutawala.

Raisi ambaye ni mwenyekiti wa chama hawezi kuwa ndio anateua mwenyekiti wa INEC, wakurungenzi wa kusimamia uchaguzi, watendaji wa serikali za kata/mitaa/vijiji halafu useme kuna uchaguzi, hakuna fair grounds hata kidogo.

What to do, watch!!
Umeongea vizuri na kwa mifano hai
Sasa tufanye nini ?
 
People make history and history make people. Don't stress, watu wachache tu ndio huamsha , huchochea au huleta mabadiliko katika nyakati zisizotarajiwa kabisa na kutengeneza historia yao na ya jamii zao.
Sawa mkuu muda utasema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom