Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
avadhali yeye...huyu wa sasa sauti inagoma high note
huyu madam ritha hazeeki aisee!!!
avadhali yeye...huyu wa sasa sauti inagoma high note
huyu madam ritha hazeeki aisee!!!
Aisee best zangu kazi ipoo ukitoka kuangalia tusker then uje ebss utakasurikaa weee
Aisee best zangu kazi ipoo ukitoka kuangalia tusker then uje ebss utakasurikaa weee
Bobo flavour nyingi na taarabu hazifai kwenye mashindano kwani ni kama utenzi au mashairi tuu .Hazina music varriarion mtu wimbo unaweza kuwa na chord mbili yuu mwanzo mwisho. Cha kushangaza BSS ndio hizo hizo tuu
Mnamwona Mandela.. Anaiga saut ya camelion
Heaven on earth umenifurahisha.. Let m ask cjui mm ndo mshambaa,hv ukiwa judge lazima utoe maneno mabayaa..salama ajudge uimbaji not cjui ohh demu wako anakudanganya
Heaven on earth umenifurahisha.. Let m ask cjui mm ndo mshambaa,hv ukiwa judge lazima utoe maneno mabayaa..salama ajudge uimbaji not cjui ohh demu wako anakudanganya
sijui kwa nini wanatubania bana. mie nimetokelezea na kivazi changu.
hahaaaaaaaaaaa unatuacha wenyewe na kina Mwakijambe....
hahaa I hope nitakuona best angu