Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 617
Kwa nini hawaendi kukamata wamiliki wa mabaa sehemu mbalimbali nchini wanaofungua mabaa muda wa kazi badala yake wanakimbilia vilabuni tu?
Wakuu; heshima mbele!
Napenda kuwasihi sana Watanzania wenzangu kudumisha umoja,mshikamano na uzalendo. Hii nikutokana na mambo kadhaa yanayotokea nchini kwetu(hususan current Police v/s Citizens' Laments).
Nikijikita ktk suala la juzi pale Ilula-Iringa,nimeshuhudia baadhi ya Watanzania kadhaa ktk mitandao mbalimbali ya kijamii na hata mitaani kote wakiendelea kulilalamikia Jeshi la Polisi kuwa, ni watesaji wasiozingatia misingi ya Utu.
Mimi naomba nitofautiane na malalamishi hayo(nikirejea tukio hilo hapo juu).
Ni ukweli uliowazi kwamba, Polisi walikuwa wanakwenda kutekeleza Ilani,Sheria na Utaratibu wa Nchi na Utawala-Mahalia (By-Laws),ambao ni mpango wakusimamia mienendo na taratibu za Wananchi kuhakikisha wanalisukuma vyema gurudumu la maendeleo.
Haipingiki kwamba,kuna mambo mengi sana yasiyokuwa ya msingi yanawafanya watu/wananchi kulegea na kushindwa kujihusisha kwa bidii na umakini kufanya shughuli za maendeleo. UNYWAJI HOLELA WA POMBE au ULEVI WA AINA YOYOTE, ni miongoni mwa mambo hayo.
Ni jukumu la Mamlaka kutunga sheria na utaratibu kufanya "perpendicular & mutual monitoring" kwa Raia wake ili kutimiza malengo ya maendeleo. Hicho ndicho kitendo kilichokuwa kinafanyika pale Ilula.
Si busara wala hekma kumwacha mtu/watu kuenenda katika njia mbovu badala ya kujikita katika shughuli za maendeleo kwa wakati muafaka uliopangwa.
Yule mama aliyeanguka na kufariki (R.I.P), ni wazi kwamba,ilitokea bahati mbaya (kama inavyoweza kumtokea yeyote yule), na si kwamba alipigwa au kuteswa na Polisi.
Now; malalamiko yanayoendelea kutolewa na baadhi ya Watanzania juu ya tukio hilo(yakielekezwa kwa Polisi na Serikali), si sahihi hata kidogo. Mnyonge mnyongeni,lakini Hakhi yake mpeni.
Nchi kama CHINA,S.KOREA na RUSSIA,wako Serious mno kufuatilia nidhamu za Wananchi ktk uzalishaji mali na kujituma kwa Wananchi. Naamini that's why wako juu kiuchumi. **Sasa shida inakuja wapi kwa Serikali na Polisi wa Tanzania kusimamia Nidhamu ya kazi ya Raia wake?**
MY TAKE;
Watanzania tusihemke na kukengeuka bila sababu. Tuwe wawazi na Makini mbele za Mungu. Tusihamaki bila sababu za msingi. Tujitengenezee mazingira na Saikolojia yakutii sheria halali bila shuruti,kwa manufaa yetu binafsi,kizazi chetu na kwa Taifa letu Tanzania.
Nawasilisha.
Sheria ni msumeno hukata kila upande. Kama polisi wangekuwa na weledi basi washughulikie kila crime badala ya kujikita kwa soft targets kama waandamanaji, wanywa pombe, wanafunzi, vyama vya upinzani, watoto wa chekechea nk. Mbona escrow, EPA, MEREMETA, DEEP GREEN, wezi wa makaratasini, wahujumu uchumi, wezi migodini, twiga wanaopanda ndege, meno ya ndovu, nk. hawagusi?Polisi wameonyesha udhaifu mkubwa, upungufu wa weledi, wala rushwa wakubwa, waonevu, kwa kifupi wamepungukiwa na ubinadamu. Wanafanya kazi kama robot, hawana uwezo wa kuchambua ni cha kufanya na kifanywe vipi, wakubwa wao halikadhalika ni vilaza pia. Ni lazima tutaendelea kuwalaumu mpaka watakapojifunza kufanya kazi kwa weledi. Mifano ya China usiyuletee hapa kwa sababu wale wameweka viwango. Umetumwa Tanzania kujenga uwanja wa taifa kwa kiwango fulani, usipotekeleza kama ulivyoagizwa kichwa chako ni halali yao bila kujali cheo chako. Rais akihusishwa kwenye ufisadi wanakukata kichwa nk. Hayo hayawezekani Tz. Chenge fisadi mkubwa anatanua barabarani na anapewa kazi ya kutunga katiba. Only in Tanzania uwezi kuona sehemu nyingine. Hata Rwanda kanchi kadogo tu kametushinda. Halafu unatoa mishipa hapa kutetea utendaji wa pilisi we vipi?Wakuu; heshima mbele!
Napenda kuwasihi sana Watanzania wenzangu kudumisha umoja,mshikamano na uzalendo. Hii nikutokana na mambo kadhaa yanayotokea nchini kwetu(hususan current Police v/s Citizens' Laments).
Nikijikita ktk suala la juzi pale Ilula-Iringa,nimeshuhudia baadhi ya Watanzania kadhaa ktk mitandao mbalimbali ya kijamii na hata mitaani kote wakiendelea kulilalamikia Jeshi la Polisi kuwa, ni watesaji wasiozingatia misingi ya Utu.
Mimi naomba nitofautiane na malalamishi hayo(nikirejea tukio hilo hapo juu).
Ni ukweli uliowazi kwamba, Polisi walikuwa wanakwenda kutekeleza Ilani,Sheria na Utaratibu wa Nchi na Utawala-Mahalia (By-Laws),ambao ni mpango wakusimamia mienendo na taratibu za Wananchi kuhakikisha wanalisukuma vyema gurudumu la maendeleo.
Haipingiki kwamba,kuna mambo mengi sana yasiyokuwa ya msingi yanawafanya watu/wananchi kulegea na kushindwa kujihusisha kwa bidii na umakini kufanya shughuli za maendeleo. UNYWAJI HOLELA WA POMBE au ULEVI WA AINA YOYOTE, ni miongoni mwa mambo hayo.
Ni jukumu la Mamlaka kutunga sheria na utaratibu kufanya "perpendicular & mutual monitoring" kwa Raia wake ili kutimiza malengo ya maendeleo. Hicho ndicho kitendo kilichokuwa kinafanyika pale Ilula.
Si busara wala hekma kumwacha mtu/watu kuenenda katika njia mbovu badala ya kujikita katika shughuli za maendeleo kwa wakati muafaka uliopangwa.
Yule mama aliyeanguka na kufariki (R.I.P), ni wazi kwamba,ilitokea bahati mbaya (kama inavyoweza kumtokea yeyote yule), na si kwamba alipigwa au kuteswa na Polisi.
Now; malalamiko yanayoendelea kutolewa na baadhi ya Watanzania juu ya tukio hilo(yakielekezwa kwa Polisi na Serikali), si sahihi hata kidogo. Mnyonge mnyongeni,lakini Hakhi yake mpeni.
Nchi kama CHINA,S.KOREA na RUSSIA,wako Serious mno kufuatilia nidhamu za Wananchi ktk uzalishaji mali na kujituma kwa Wananchi. Naamini that's why wako juu kiuchumi. **Sasa shida inakuja wapi kwa Serikali na Polisi wa Tanzania kusimamia Nidhamu ya kazi ya Raia wake?**
MY TAKE;
Watanzania tusihemke na kukengeuka bila sababu. Tuwe wawazi na Makini mbele za Mungu. Tusihamaki bila sababu za msingi. Tujitengenezee mazingira na Saikolojia yakutii sheria halali bila shuruti,kwa manufaa yetu binafsi,kizazi chetu na kwa Taifa letu Tanzania.
Nawasilisha.
Hivi ni nani halisi huyu jinga? ukiacha hayo ya mmm analiharibu pia jina la tumutemeke sangaachana na huyo... ni fal@ fulani alishakua hapa akapaparikia u-system, wakamfiz, akajaribu kupiga mikwara akina MMM, naona sasa kaishia kuwa shoga mboga tu, na frustrations kibao
Huyo Mama Hakuwa Muuza Pombe, Bali Alikuwa Muuza Chakula. WAUAJI NI WEWE MWENYEWE UKISHIRIKIANA NA HAO MABWANA ZAKO BAADA YA KUMCHOTA MTAMA HUYO MAMA NA AKAFARIKI PALEPALE.
Kuwa na uchungu wa maisha ya binadamu wenzako kama ambavyo nawe ungependa kuishi
Swala la kuuza gongo haliondoi dhamani ya ubinaadamu wake kabisa
Kama tatizo ni kuuza gongo basi ungefuatwa utaratibu wa adhabu zilizoko kisheria
Na mimi nadhani tufike mahala tuheshimiane kama binadamu hata kama nafanya kazi isiyokupendeza, ila kumbuka hali ngumu ya maisha ndo imemfanya mama huyu kujitafutia riziki kwa njia hiyo ndugu.
Natumaini utanielewa vizuri tu.
phac you too lil annie... naona umerukia hata visivyo vyako, punguza mshindo dogo hatuli viboga... B!tch please
unabikumbusha shoga mmoja anaitwa dibibi... Ukimuona kama mtu kumbe anafirwa hovyohovyo....
Aahh mkunduuu
Wewe ndo ndondocha, hujui wanasiasa unao wazungumzia ndo huwa wanawatuma polisi kuua wananchi wanao andamana na mikutano ya vyama pinzani? Mkumbukeni Daudi Mwandosi polisi walivyo Muua, mbona hamkuja humu jamvini kulaani mauaji ya Mwandishi yule mahiri wa habari? Acheni unafiki, mbona yanapotokea mauaji hamzungumzii watu wanao poteza uhai? Sins Imani wala A mani na Polisi. Natamani ningekuwepo Nipate kesi
huna akili timamu nyau we, kuna siku uliambiwa utekelezaji wa sheria lazima ushirikishe wanasiasa ili polisi wawajibike ktk majukumu yao? hao hao wenyeviti wa vijiji ndo wapika gongo wakuu, fikiri vizuri.
Haukuwa wakati muafaka wa kifanya hivyo. By the way,dhana inafahamika kwamba kulikuwa na wauzaji & wanywaji wa pombe wakati ambao ulikuwa sio mujjarab.