Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
rejao, ritz, tume ya katiba, moh'd said na wengineo nyinyi angalau mna upeo mwombeni mufti aifute hiyo radio mufilisi
Hata CCM wanataka Jamii Forum ifutwe !
rejao, ritz, tume ya katiba, moh'd said na wengineo nyinyi angalau mna upeo mwombeni mufti aifute hiyo radio mufilisi
wakristo nao wangekuwa na mioyo ya chuki kama waislam damu ingeshamwagika kitambo sana.nawakubali sana viongozi wa kikisto walivyo na hekima kwani nafikiri hekima inawapa uwezo mkubwa wa kupangua pumba na chuya ni zipi
ila kwetu siye duuuuuh
Mfumo kristo Tanzania upo hilo halina ubishi, hivi Mahkama ya kadhi Wakristo inawahusunini, hangaikieni yenu, mbona wakristo hamjiamini na dini yenu.
Yaani ukithubutu tu kusema: Mungu kazaa, Mungu ana mtoto, Mungu anawasaidizi(katika kuumba !) Hakika wewe ni Kafirrrrrr, laaana ya Mwenyezi Mungu ikuandame !
Tofauti lazima iwe wazi
kati ya "wenye kushukuru na wenye kukufuru" ndo maana Bwana Yesu (Issah
bin Mariam) alisema katika Injil kuwa "hawezi kuwapa chakula cha Bwana
(Mungu) nguruwe(makafiri). Itabaki kuwa hivyo tuu, Kafiri atabaki kuwa
kafiri au nguruwe !
rejao, ritz, tume ya katiba, moh'd said na wengineo nyinyi angalau mna upeo mwombeni mufti aifute hiyo radio mufilisi
chuo kikuu cha kwanza cha kiislamu hapa bara kimetokana na zawadi ya serikali tena iliyoongozwa na mkiristo ambaye aliwapa majengo ya Tanesco mimi siamini kama hiyo redio inawakilisha mawazo ya waislamu kwani tumekuwa tukiishi na ndugu zetu waislamu vizuri bila matatizo yoyote ni kikundi cha watu wachache wanaotumiwa ili watugombanishe kwa misingi ya dini na baadae wanufaike na rasilimali zetu mamlaka husika zinapaswa kuchukua hatua