HApana hayo ni yaliomo ndani ya dini yetu ila naamini kuwa hata ndani ya Ukiristo yamo ,tatizo hamtaki kuielewa dini yenu na ,Mmeambiw ndani ya kitabu chenu biblia kuwa mungu haonekani nyie mmekazana kumchora ,tena la ajabu yule alienekana na watu nyie ndie huyo mnamuona Mungu.
John 1:18:
"
No one has ever seen God,sijawahi kabisa kuamini kwamba Taifa litajengwa na mawazo kama hay
Kwa maana Mungu haonekani ,ever...upande wa pili wamemuona nani anafuata ujinga. Umeshaambiwa ndani ya kitabu chako unachokiamini ya kuwa "
No one has ever seen God, Picha zake zimejaa nani kamuona na kumchora God ? Hawa wanaomchora huoni kama wanajingisha watu.
1 John 4:12: "
No one has ever seen God; but if we love one another, God lives in us and his love is made complete in us.
Na kaziangalie hizi uondoke kwenye Ujinga ili usitofautiane na Waislamu
1 Timothy 1:17: ,1 Timothy 6:16:
Msione watu wametulia mkaona patupu ,basi mjue mkifanya mchezo mtaumbuka.