wakiristo watz bara bana. Wakichochea vurugu wapigiwe makofi. Nimewaona kanisa la mwenge pale. Siku ya pili wakapigiwa makofi humuwewe nyamanza kabisa...nyinyi magaidi mbona mnakuwa kama siafu??
Wamesema wale makadhi waliotajwa kule dodoma siyo maana kadhi anatakiwa kufuata yale yaliyopo kwenye vitabu vyao walipo nichekesha eti lazima ajue lugha ya kiarabu inamaana waarabu kwao ni mungu wao wakiimani!!
C r a p only!
Wakristo hawawezi kuchochea vurugu lakini cha kushangaza wakati yupo mkapa kwenye madaraka mlipinga mpaka mkamuita kafiri..sasa yupo mwislamu mwenzenu bado mnasema anakumbatia wakristo lakini kumbuka uislamu unaimiza upendo na amani je nyinyi?? Lakini kwanini nyie wa hapa hamko hivyo??iweje muone mufti kukaa na mapadre na maaskofu kama ka hatarisha uislamu??kweli ninyi nyoyo zenu zina utashi wa amani??tujiulize nyie mnataka kukaa nchi gani na wakiristo wakae nchi hipi??sasa iweje mkatae kuhesabiwa kwasababu za kidini??eti mnataka irudi sheria ya mwaka 1959 wakati hata uhuru hatujapata kweli ndiyo maana mnaandika mkitokea wenzenu wanakokwenda!hamwezi kupatamaendeleo kamwe!!
sielewi kitu kimoja, kwani waislam wanataka msaada wa itv au nini...wao pia si wana tv iman, wajibroadcast kwenye hiyo kujitofautisha na kile ambacho itv wanakifanya, wasilaumu tv ya mtu binafsi inachofanya kama vile wamechangia chochote kuiimarisha au kuiendesha tv hiyo...icho ni kitu cha mtu binafsi, mali ya mtu hiyo wala si ya serikali.message sent to ITV
wanatakiwa waache propaganda tu. Sio chengine. Mbona kwa wakiristo hawaleti propaganda? Kwani hiyo ni tv ya dini ya kikiristo:sielewi kitu kimoja, kwani waislam wanataka msaada wa itv au nini...wao pia si wana tv iman, wajibroadcast kwenye hiyo kujitofautisha na kile ambacho itv wanakifanya, wasilaumu tv ya mtu binafsi inachofanya kama vile wamechangia chochote kuiimarisha au kuiendesha tv hiyo...icho ni kitu cha mtu binafsi, mali ya mtu hiyo wala si ya serikali.
Kuusimamia uislam ndio kuchochea umwagaji damu? Kwani wewe na viongozi wako wasio waislam kuitwa makafir kuna tatizo gani? Unapoleta habari hapa, hakikisha kwanza umeichambua kwa kina
Ni wachezaji wa Basketball....kwakutumia..jina la KOBE...Bryant!!!Kufunga ramadhani ni kazi nzito..eti hawa wote wamefunga..
Btw..Ramadhan Kareem!
Watoto wa mou naona mmechanganyikiwa, radio iman kweli elimu bila mipaka, hakuna kwaya. Ni elimu kusonga mbele.
Hivi kwanini makafiri hawapendi kuitwa makafiri, ilhali matendo na mienendo yao ni ya kikafiri?
Msisikilize mambo msio kuwa na elimu nayo ,hao wamesema hawana imani na viongozi wa Bakwata ,kwani viongozi hao hawatokani na umoja wa waislamu ,BAKWATA ni taasisi ya serikali kama zilivyo taasisi zingine.
waislam hawali rushwa. Wakiristo wtz wala rushwa wakubwa tz
naona gap kati ya jamii ya kiislam na chadema inaongezeka kwa kasi ya ajabu.nimesikiliza radio imani juu ya misimamo ya viongozi wa dini za kiislamu wanavyochochea umwagaji damu nchini...na wakitanabaisha kuwataka waislamu watambue kuwa viongozi wa bakwata..kuwa siyo viongozi wawaislamu nchini na siyo wawakilishi wawaislamu na wasiwakubali!!na wawe tayari kutetea uislamu wasiogope....nakuwaita viongozi ambao siyo waislamu kuwa ni makafri..kweli tumefikia hapo?
Nazaidi kwa kudai sensa inaratibiwa na viongozi wa kikiristo eti wanataka wajue misikiti ni mingapi nchini kwakusema ndo maana hawataki kuhesabiwa!
Hawakuishia hapo wameingiza swala la muungano kuwa wao wanahitaji muungano uvunjike zanzibar iwe na mamlaka kamili.
wanatakiwa waache propaganda tu. Sio chengine. Mbona kwa wakiristo hawaleti propaganda? Kwani hiyo ni tv ya dini ya kikiristo:
ramazani kareem!