<br />nchi hii ina udini, inaongozwa na mfumo kristo, ipo kitawaka tugawane mbao.
<br />
ww sasa ndo NEGATIVE HII punguza jazba sio woyawoya tu maana hutoweza kufkr kamwe ukiweka negative mbele
<br />nchi hii ina udini, inaongozwa na mfumo kristo, ipo kitawaka tugawane mbao.
Nimeipenda hii, mtalaani sana, bt msipofanya kazi mtabaki watu wakulaumu tu, mpaka mwisho wa dunia. Haki ipi mnayotaka? mahakama ya kadhi au nini?wacha waislamu tulalamike na tutalalamika mpaka kiama lkn hakutakuwa na mabadiliko yoyote kama tutaendekeza sera ya udini huku tukiwaacha watu wenye uchungu na nchi kwa sababu tu si waislamu.
<br />Leo niliamua kupoteza muda wangu kusikiliza kipindi cha " Mwangaza wa jamii" kinachorushwa na radio iman. Mashekhe fulani wakawa wanachochea waislam kuingia barabarani kudai haki eti kwa kuwa wamekandamizwa na wakristu. <br />
<br />
Hivi ni lini wakristo wameongoza hii nchi? Nimejiuliza hivi kweli usalama wa taifa una habari na uchochezi huu? Au wanawadharau.
wacha waislamu tulalamike na tutalalamika mpaka kiama lkn hakutakuwa na mabadiliko yoyote kama tutaendekeza sera ya udini huku tukiwaacha watu wenye uchungu na nchi kwa sababu tu si waislamu.
Mapenzi mabaya jamani unamjua Jimmy Swagat?
Msiogope usalama wapo makini tcra ndo usalama hiyo redio inasikika mwisho kisutu na maeneo jirani hivyo madhara yake ni madogo kwa usalama wataifa na zaidi kuna mtu wakurekodi program za mijadala redio zote tv zote hivyo wanaweza wakapewa onyo wakikaidi wanapunguziwa masafa au wanawekewa mwingiliano wa masafa inabore wasikilizaji unaamua kwenda station nyingine!
Mkuu, kule Arusha kwenye mkutano wa CDM sakata la Meya tulimsikia Mbowe akiwaamasisha wananchi kuwa wameipa Serikali mwezi kutatua mgogoro wa Arusha zaidi ya hapo wataingia barabarani kwa maandamano kwenda kuvamia ofisi za Manispaa ya Arusha. Huu sio uchochezi???Leo niliamua kupoteza muda wangu kusikiliza kipindi cha ; Mwangaza wa jamii; kinachorushwa na radio iman. Mashekhe fulani wakawa wanachochea waislam kuingia barabarani kudai haki eti kwa kuwa wamekandamizwa na wakristu.
Hivi ni lini wakristo wameongoza hii nchi? Nimejiuliza hivi kweli usalama wa taifa una habari na uchochezi huu? Au wanawadharau.
Mengi yamefanyika ktk kuakandamiza uislamu. Tukiamka kudai haki zetu tunaambiwa tuna hatarisha amani. Waache radio imaan watoe daawa kwa waislamu tutambue haki zetu.
<br />Sirlimu nilikuwa nakuheshimu kama msomi wa chuo kikuu tukiwa sote pale SUA kumbe elimu haijakusaidia,shame on you brother!Mengi yamefanyika ktk kuakandamiza uislamu. Tukiamka kudai haki zetu tunaambiwa tuna hatarisha amani. Waache radio imaan watoe daawa kwa waislamu tutambue haki zetu.
Mengi yamefanyika ktk kuakandamiza uislamu. Tukiamka kudai haki zetu tunaambiwa tuna hatarisha amani. Waache radio imaan watoe daawa kwa waislamu tutambue haki zetu.