Nimekupata mkuu!!!!!!!!!!. Mijadala of such type ipo had huku mtaan, m n muumin wa kiislam, nagombana nao wanaposema tunatengwa, tunaonewa, HOW??????.Napenda kuwaambia kuwa kama tunabaguliwa na tumeshajua hakuna haja ya kulalamika, swala ni ku work on it. Tusome kwa bidii, sipend kuiaminisha jamii kuwa muslim tunabaguliwa b'se sijawahi ku experience kitu kama hicho. Kama yupo mtu ambaye ashawahi kukutwa na mkasa wa kukosa nafasi yeyote kisa muslimu anijuze, namaanisha kuanzia 2000 had tjis year. Kama lilikuwepo nadhan kwa sasa limeisha!!!!!!!!!. Mbona shule za kiislamu znaongoza kufelisha??????. Hapana kulialia sio suluhisho. SISI NI KITU KIMOJA, HAKUNA DINI BILA SISI,