Tusio na kazi tukutane hapa

Tusio na kazi tukutane hapa

Yani mwanamke huna kazi???
Nimejikuta nawaza tu, kwanini tusiwe na jukwaa la watu tusiokuwa na kazi rasmi za kufanya.

Wengine tumetumbuliwa hivi karibuni, wengine wamemaliza vyuo bado wanatafuta na wengine wana kazi lakini siyo ya maana ili mladi tuu siku ziende.

Hata mwenye job vacancies anaweza akatupata humu tukasaidiana maana hali hii siyo kabisa.

Vyuma vimekaza kila kona. Tujipigishe zetu story humu tujuzane ilikuwaje ukajikuta huna kazi.

Karibuni wadau.
Huu ni uzembe sana
 
Hee. Wewe mimi ni mwanamke hayo mambo ya uume yananihusu nini?
 
yani ukisikia mtu antumbuliwa mzee usimcheke, kesho yaweza kua wewe na huyu mzee baba mwenyewe daah
 
Back
Top Bottom