Tusio na kazi tukutane hapa

Tusio na kazi tukutane hapa

kutokua na kazi not good kwa life hili so cha msingi sio kujivunia kutokua na kazi but kupeana ideas on what to do in this life
 
Hakuna kipindi kigumu nimekutana nacho katika maisha kama maisha baada ya university hakika maumivu yake si ya kitoto
Inafika wakati unajisemea bora ningeishia lasaba Wenda ningekuwa mkulima mzuri wa viazi ,maharagwe na hata mahindi kwani ningekuwa ninauzoefu wa kutosha na changamoto nyingi ningekuwa nazikabili kwa uzoefu uliotukuka
Kweli maisha baada ya shule kwa graduates wenzangu Mungu atusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kipindi kigumu nimekutana nacho katika maisha kama maisha baada ya university hakika maumivu yake si ya kitoto
Inafika wakati unajisemea bora ningeishia lasaba Wenda ningekuwa mkulima mzuri wa viazi ,maharagwe na hata mahindi kwani ningekuwa ninauzoefu wa kutosha na changamoto nyingi ningekuwa nazikabili kwa uzoefu uliotukuka
Kweli maisha baada ya shule kwa graduates wenzangu Mungu atusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Hapa umesem Ukweli, watu wanarudi Nyumbani kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kipindi kigumu nimekutana nacho katika maisha kama maisha baada ya university hakika maumivu yake si ya kitoto
Inafika wakati unajisemea bora ningeishia lasaba Wenda ningekuwa mkulima mzuri wa viazi ,maharagwe na hata mahindi kwani ningekuwa ninauzoefu wa kutosha na changamoto nyingi ningekuwa nazikabili kwa uzoefu uliotukuka
Kweli maisha baada ya shule kwa graduates wenzangu Mungu atusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi mpaka sasa ninapoandika hapa nimesha fanya applications zaidi ya mia 7 zaidi, kuanzia mwaka jana mwezi wa 6 mpaka leo hii nimefanya 4.

Sijawai itwa ata kwenye interview tu

Nimeshawai mtafuta HR zaidi ya mmoja ajaribu kuangalia document zangu kama zina kasoro wote wananiambia kuwa zipo vizuri mno ata mpangilio tu unavutia

Nimeshachoka kufanya application na kukata tamaa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi nazo ngumu plus huu uchumi inabidi kufikiria alternative nyingine. Kipindi hichi kina stress nyingi sana aisee. Hafu kazi nyingi zinataka experience ya five years and ur fresh from school. We shall overcome by Dr MArtin Luther king jr
Wakuu mimi mpaka sasa ninapoandika hapa nimesha fanya applications zaidi ya mia 7 zaidi, kuanzia mwaka jana mwezi wa 6 mpaka leo hii nimefanya 4.

Sijawai itwa ata kwenye interview tu

Nimeshawai mtafuta HR zaidi ya mmoja ajaribu kuangalia document zangu kama zina kasoro wote wananiambia kuwa zipo vizuri mno ata mpangilio tu unavutia

Nimeshachoka kufanya application na kukata tamaa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom