Katika maisha ya binadamu mara zote kimbilio kuu huwa ni ndugu katika kutatua jambo la dharura!
Kwa unavyowajua ndugu zako, wewe na ndugu zako kukiwa na jambo la dharula na mkaamua kuchangishana hapo kama wana ndugu ndani ya siku moja au mbili mnaweza kupata top top Tsh ngapi ile Maximum kabisa hata tukiwapatia Maiki mseme mlichopata kitakuwa ngapi?
(Wewe na ndugu zako pasipo kuhama ukoo tafadhali)
Kwa unavyowajua ndugu zako, wewe na ndugu zako kukiwa na jambo la dharula na mkaamua kuchangishana hapo kama wana ndugu ndani ya siku moja au mbili mnaweza kupata top top Tsh ngapi ile Maximum kabisa hata tukiwapatia Maiki mseme mlichopata kitakuwa ngapi?
(Wewe na ndugu zako pasipo kuhama ukoo tafadhali)