Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,666
Yeah,ndo uhalisia mkuuDah, comment za humu...lkn ndio maisha yetu tulio wengi
Yeah,ndo uhalisia mkuuDah, comment za humu...lkn ndio maisha yetu tulio wengi
sisi tukiamua zinafika TSH 222222222222222222222222222222222222222222222222222222222222222222456789000000000Katika maisha ya binadam!
Mara zote kimbilio kuu huwa ni ndugu katika kutatua jambo la dharula! Kwa unavyowajua ndugu zako!
Wewe na ndugu zako kukiwa na jambo la dharula na mkaamua kuchangishana hapo kama wana ndugu ndani ya siku moja au mbili mnaweza kupata top top Tsh ngapi ile Maximum kabisa hata tukiwapatia Maiki mseme mlichopata kitakuwa ngapi?
(Wewe na ndugu zako pasipo kuhama ukoo tafadhali)
HahahaaYafungie vioo
#Chukwu Ngapi huko?Changamoto.......Mungu anatulinda sana lasivyo ni hatari sana kwa hizi familia zetu ikitokea dharula
Naona coins tu hapa😒#Chukwu Ngapi huko?
Soma, watu wanakusikiliza!Naona coins tu hapa😒
Hata sijui, hili swali fikirishi. Yaani Mungu atusimamie. Binafsi sina hela hapa na inayopatikana inasambaratika na kugawanyika kabla hata, sijaitia mikononi. Tukipata 30-50, itakuwa kweli sisi ukoo wa wanaume!
Everyday is Saturday...............................
Wasichokijua ni kwamba muda wa kutafutana na kufahamiana ni below 18. Sasa Mimi Ni around 25. No more room for compromise. Sitaki unafikiMakalio ya shangazi zao
Nadhani mpaka hapo nimeelewekaSoma, watu wanakusikiliza!
Nadhani mpaka hapo nimeelewekaSoma, watu wanakusikiliza!
inategemea tuachangia nin kama harusi au msiba miliion tano inafika kama ugonjwa million 3
30+20+50+50 jumla utapata 100 tangu liniNgoja nimsemee jirani yangu hapa kanituma niwaambie kuwa katika familia yake yeye wana uwezo wa kupata si chini ya milioni 100 kama itahitajika kwa dharura.
Baba anawezatoa 30 ml papo hapo
Mama 20ml
First born 50ml
Last born 50ml bila shuruti
Baada ya nijisemee na mimi mwenyewe sasa- tunaweza pata elfu kumi kwa kubanana sana tena kwa kipindi kisichopungua mwezi