Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 31,675
- 90,453
Nakukumbusha tu!Acha utani wa ngumii
Nakukumbusha tu!Acha utani wa ngumii
Jamani sasa huku ndio code ya mtaa mzima itakuwaje🫢Ugali hapana asee Evelyn Salt alishasema upigwe marufuku
Nitafutie binti nioe mapemaNakukumbusha tu!
Njoo huku jichagulie mwenyew..🌝Nitafutie binti nioe mapema
Ugali unadumaza akiliUgali hapana asee Evelyn Salt alishasema upigwe marufuku
Mbona hamkutwambia mapema JamaniiUgali unadumaza akili
Tumechelewa hadi akili zishadumaa😂😂😂😂Mbona hamkutwambia mapema Jamanii
Yani huKu uakianza tu kula, na ndio kinakuwa chakula chako daily, ndiomaana kuna mambo yananishinda kabisa kuelewa kumbe shida ugali😂Tumechelewa hadi akili zishadumaa😂😂😂😂
Picha linaanzia utotoni unakabwa ili kumeza ugali mlaini......Yani huKu uakianza tu kula, na ndio kinakuwa chakuka chako daily, ndiomaana kuna mambo yananishinda kabisa kuelewa kumbe shida ugali😂
Usicheke ni janga la taifa hili, tumelishwa dona sisi mpaka tunalipenda kuliko ata wali😂 ni ugali na mawashio(furu) daily🤣Picha linaanzia utotoni unakabwa ili kumeza ugali mlaini......
Hapo bold nimecheka mnooo 🤣🤣🤣🤣🤣
Wapi jf?Njoo huku jichagulie mwenyew..🌝
Umeona mama gwamaka embu fanya jamboUmenikumbusha kuna mzuzu hapa nizifanyie Kazi jioni!
Hapana usukumani 😁Wapi jf?
Msos una onekana mtamu umekosa mboga za majani tu
Uko mpaka leo wana piga picha wakiwa wameshikana mabega bhnaHapana usukumani 😁
Haraka haraka tu aiseeMsos una onekana mtamu umekosa mboga za majani tu
Ila mtamu sana una onekanaHaraka haraka tu aisee
Unatuchanganya na wa mbeya ww😅Uko mpaka leo wana piga picha wakiwa wameshikana mabega bhna