min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,497
- 168,489
Foo shuaSiku mbili tu ana toka komando yaani kaiva mpaka ana ungulia uyo
Foo shuaSiku mbili tu ana toka komando yaani kaiva mpaka ana ungulia uyo
Njoo na pepsi ya baridiKijana,Niko mjini Dar es salaam..vipi nifike hapo nyumbani kupata hata vijiko viwili kidogo nitiuize njaa?
No kipinga miz kakaFoo shua
Uza kijambio! Njyie ndio mnafanya jf inaonekana ya kipumbavu. Swali gani hilo?Hapa nina chumvi na maji tu, sina pesa ya kununua ndizi na samaki.
Hapo nifanye nini ili nitoe kitu kama hicho?
Kijana utaoa kweli ?🤔Hello
Huu naona mdio chakula chepesi kupika kwa haraka na kitamu hasa pale unapo kuwa umeshikwa njaa na tumbo lina tetemeka
Uta chukua ndizi zako mimi nimetumia mzuzu nikazimenya vzr kisha nika ziweka jikoni zikichemka baada ya mda nika weka samaki vichemke kwasbabu samaki achelewi kuiva so nilikuweka mwishoni ili asiolojeke
Niachukua na simba mbili nikaweka siku taka viungo vingi kabisa
View attachment 3488442
Na nazi ya azam niliweka baada ya kuona ndizi zimeiva pamoja na samaki so nikaweka nazi na pilipili ya unga kidogo sana
View attachment 3488443End of the day nimeonja chakula kitamu sana hapa nipo na kula na juice ya matunda embe na machungwa
View attachment 3488444
Actually nahisi kushiba sana leo si fikirii kama usiku nitakula tena
Jaribu na wewe utupe mrejesho
Mkinipa mke mwenye pesa maana sipendi kuombwa pesaKijana utaoa kweli ?🤔
Kwamba unafikiri akiwa na pesa ndio ataacha kukuomba pesa?Mkinipa mke mwenye pesa maana sipendi kuombwa pesa
😆😆😆Siku mbili tu ana toka komando yaani kaiva mpaka ana ungulia uyo
Kuna usumbufu una punguaKwamba unafikiri akiwa na pesa ndio ataacha kukuomba pesa?
Una cheka et
Nataka uzipike kichaga nyama nyingi ndizi chacheKhee jamani najua kupika hizi bwana😆
Lipia baMtu🤪Foo shua
Hilo limesha isha maMtuLipia baMtu🤪
Mkinipa mke mwenye pesa maana sipendi kuombwa pesa
Mzuri kwa afyaMlo Kamili Huu
Ntadokoa nyama hutaamini, ntajifunza lkn.. unajua usukumani tunapika sana dona lenye muhogo😂Nataka uzipike kichaga nyama nyingi ndizi chache
Acha utani wa ngumii
Ugali hapana asee Evelyn Salt alishasema upigwe marufukuNtadokoa nyama hutaamini, ntajifunza lkn.. unajua usukumani tunapika sana dona lenye muhogo😂