Tuongee Kifamilia leo, kama unataka kuoa au kuolewa na mna imani za dini tofauti jitafakari upya

Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hao wana ndoa.

Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo owa Mkristo mwenzako.

Issue ni ngumu, Mkristo kaka mwanamke muislamu kipindi mahaba ndindindi, Sasa ndoa imejibu Watoto Wawili, mwanamke wote anadai ni Watoto wake na wote wanapenda madrasa za kiislamu.

Sasa sitaki mada hii iwe ni mihadhara au jukwaa la kukashifu dini nyingine, nimeweka hii mada ili kuitwa ushauri wa bure.

Ikiwa mwanamke na mwanaume mmekubaliana kuweka dini zenu pembeni na mfunge ndoa bomani basi jitahidini na swala Watoto mkubaliane wakizaliwa wafuate imani gani au mgawane vipi urithi wa imani kwa Watoto na kwa hali ya Sasa muandikishiane kisheria ili lisilete tabu baadaye.

Nawapenda sana Mama zangu na Dada zangu lakini ukweli uko wazi wao ndio tatizo, wanaume huwa hawana ligi za kijinga.

Nimewashauri acheni Watoto wakiwa adult wachaguwe imani wanayotaka ila mke wa ndoa anasema Watoto ni wake, ila kimoja kipengele cha school fees mke ndio anatambuwa kama Watoto wana baba.

Nimehairisha hii case namuomba Mungu anipe busara sijui muhafaka utapatikana vipi? Inasikitisha sana Watoto wadogo kuwaharibu kisaikolojia kurithi dini za wakoloni.

Kwakweli mnaotegemea kuowa au kuolewa na watu wa dini tofauti msilipuuze hili muandikishiane kwa Wakili kama mlivyofunga mkataba wa ndoa serikalini.

Wacha nipate kwanza lager zinipe hekima kulimaliza.
Katika ndoa hasa mijini wanaume wengi ni wajinga ndio maana zinawakuta zahama mbalimbali kuanzia kunyonywa kimatumizi hadi kunyang'anywa mali na wake zao ndoa zinapovunjika.

Mume ukishakosea mwanzoni tu mwa ndoa mnapoanza kuishi pamoja huko mbeleni huwezi badilisha kitu kwa kuingiza utaratibu au sheria mpya.

Mwanaume kamili anapooa lazima ambane mkewe abadili dini pili kama anamruhusu mke abaki na dini yake lazima aweke wazi kuwa watoto watafuata imani yake baba na anapozaliwa tu afanye .mchakato mara moja kumuingiza,mtoto katika dini yake tangu akiwa mchanga.

Hapo ni too late mume hana ujanja hjo ushauri utakaowapa mke akikataa hauwezi kutekelezeka na ninavyoona watoto watafuata dini ya mama.
 
Akitaka watoto waende upande wake, awabadilishe kuanzia ubini, kabila na kila kitu...then awabadilishe kuwa wa dini yake, then yeye atangaze kuwa kichwa cha familia...
...manake kama baba na mume, nitakuwa nimeshindwa kuiongoza familia yangu.
 
Upande wa baba yangu wote ni waislam…..
Baba yangu kaja kuoa mama ambae ni mkristo watoto wote 7 ni wakristo hakuna hata alieenda kwa baba

Mzee mwenyewe alikuwa anatupeleka mpk mlangoni kanisani hataki mtu nyumbani jumapili ila yeye hajawai kuingia kanisani

Kwaiyo sisi tumeongeza ukoo wa kikristo kwenye familia ya mzee

Ni raha na Hakuna vita wala sijawahi kusikia wakigombana kisa dini

Hao ni wazee wa zamani sijui wa sasa kama munaweza
Huyo mzee anautashi mkubwa lakini inaonesha hakupita madrasa
 
Upande wa baba yangu wote ni waislam…..
Baba yangu kaja kuoa mama ambae ni mkristo watoto wote 7 ni wakristo hakuna hata alieenda kwa baba

Mzee mwenyewe alikuwa anatupeleka mpk mlangoni kanisani hataki mtu nyumbani jumapili ila yeye hajawai kuingia kanisani

Kwaiyo sisi tumeongeza ukoo wa kikristo kwenye familia ya mzee

Ni raha na Hakuna vita wala sijawahi kusikia wakigombana kisa dini

Hao ni wazee wa zamani sijui wa sasa kama munaweza
Baba yako ametawaliwa na mama yako wala tusizungushe Maneno, na hili linakwenda kuathili maisha yako ya mahusiano moja kwa moja kwa sababu huwezi kuona makosa makubwa ya ubinafsi wa mama yako.

Mwana umleavyo ndivyo akuavyo, Mungu akusaidie hekima kwa kujifunza kwenye mijadala kama hii kujuwa aina ya wanawake wa binafsi kama mama yako.

Kama Baba yako kweli hana tatizo na hilo moyoni mwake basi angeshabatizwa kuingia ukristo.
 
Mwanamke afuate dini ya mume....kwisha mzozo.....mbwembwe nyingi dini zenyewe tumeletewa na jahaz hizi
 
Mwanamke siku zote hana dini wala umiliki wowote ule hapa duniani taka wasitake ...
 
Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hawa wanandoa.

Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo oa Mkristo mwenzako.

Issue ni ngumu, Mkristo kaowa mwanamke muislamu kipindi mahaba ndindindi, Sasa ndoa imejibu Watoto Wawili, mwanamke wote anadai ni Watoto wake na wote wanakwenda madrasa za kiislamu.

Sasa sitaki mada hii iwe ni mihadhara au jukwaa la kukashifu dini nyingine, nimeweka hii mada ili kutowa ushauri wa bure.

Ikiwa mwanamke na mwanaume mmekubaliana kuweka dini zenu pembeni na mfunge ndoa bomani basi jitahidini na swala la Watoto mkubaliane wakizaliwa wafuate imani gani au mgawane vipi urithi wa imani kwa Watoto na kwa hali ya Sasa muandikishiane kisheria ili lisilete tabu baadaye.

Nawapenda sana Mama zangu na Dada zangu lakini ukweli uko wazi wao ndio tatizo, wanaume huwa hawana ligi za kijinga.

Nimewashauri acheni Watoto wakiwa adult wachague imani wanayotaka ila mke wa ndoa anasema Watoto ni wake, ila kwenye kipengele cha school fees mke ndio anatambua kama Watoto wana baba.

Nimehairisha hii case namuomba Mungu anipe busara sijui muafaka utapatikana vipi? Inasikitisha sana Watoto wadogo kuwaharibu kisaikolojia kwa sababu ya kurithi dini za wakoloni.

Kwakweli mnaotegemea kuoa au kuolewa na watu wa dini tofauti msilipuuze hili muandikishiane kwa Wakili kama mlivyofunga mkataba wa ndoa Serikalini.

Wacha nipate kwanza lager zinipe hekima kulimaliza hili.
Hakika hilo ni gumu sana. Umeongea ukweli mtupu. Nyege zinapelekea wapendanao kupuuza hayo makubwa yanayokuja mbeleni. Issue ya tofauti ya dini si jambo la kupuuza hata kidogo!
 
Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hawa wanandoa.

Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo oa Mkristo mwenzako.

Issue ni ngumu, Mkristo kaowa mwanamke muislamu kipindi mahaba ndindindi, Sasa ndoa imejibu Watoto Wawili, mwanamke wote anadai ni Watoto wake na wote wanakwenda madrasa za kiislamu.

Sasa sitaki mada hii iwe ni mihadhara au jukwaa la kukashifu dini nyingine, nimeweka hii mada ili kutowa ushauri wa bure.

Ikiwa mwanamke na mwanaume mmekubaliana kuweka dini zenu pembeni na mfunge ndoa bomani basi jitahidini na swala la Watoto mkubaliane wakizaliwa wafuate imani gani au mgawane vipi urithi wa imani kwa Watoto na kwa hali ya Sasa muandikishiane kisheria ili lisilete tabu baadaye.

Nawapenda sana Mama zangu na Dada zangu lakini ukweli uko wazi wao ndio tatizo, wanaume huwa hawana ligi za kijinga.

Nimewashauri acheni Watoto wakiwa adult wachague imani wanayotaka ila mke wa ndoa anasema Watoto ni wake, ila kwenye kipengele cha school fees mke ndio anatambua kama Watoto wana baba.

Nimehairisha hii case namuomba Mungu anipe busara sijui muafaka utapatikana vipi? Inasikitisha sana Watoto wadogo kuwaharibu kisaikolojia kwa sababu ya kurithi dini za wakoloni.

Kwakweli mnaotegemea kuoa au kuolewa na watu wa dini tofauti msilipuuze hili muandikishiane kwa Wakili kama mlivyofunga mkataba wa ndoa Serikalini.

Wacha nipate kwanza lager zinipe hekima kulimaliza hili.
hapo nilipoweka highlight na bold na rangi. Huyo mwanamke kama mm ndo mume wake hakuna rangi ataacha kuona. Basi tu kuna wanaume wengine ni wavaa suruali tu siyo wanaume
 
Back
Top Bottom